nawasilisha kwa wanyantuzu wote.
ALISEMA VIJISENTI SIYO HELA :laugh: :laugh:mkuu mwambie mzee wa vijisenti arudishe hela yetu!
Mapango hayo waliyaficha wakati wakitoka chuo hayakuonekana.Du walifika salama Uwanjani kama mabango yao yanavyoonesha UDOM