Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,849
- 3,506
Vinalalamba lips kujipendekeza kwa warembo, vinapenda sana kupitiliza maana viko desperate na mapenzi na mwanamke akikuona uko desperate na yeye anaamua kuishi na wewe vile anavyotaka.
Hii hupelekea kuwauguza tabia hii vibinti vinavyotoka mikoani magungure. Vikienda huko daslamu na vikiona mwanaume anavyopelekeshwa kimapenzi hadi anaandika mashairi ya mapenzi, vinakuwa contaminated vikirudi huku vinaanza kuwatesa wakina masumbuko. Masumbuko anashikwa hasira anapiga mtoto wa watu, kesho mnaona star tv habari ya mwanaume akamatwa kwa kosa la kumkata vidore mke wake.
Visichana vya dar tamaa mbele mbele. Kwenye mitandao vinajipost kuandika "rich and independent" huku vikiwa uchi uchi ( kumbe kahongwa tangu anaamiaka 16 had sasa ana 30 ameshika sana pesa). Sasa vibinti vya huko koromije vikiona hivyo basi havitaki maisha ya kubanwa banwa na ndoa, anataka awe free.
Hii hupelekea kuwauguza tabia hii vibinti vinavyotoka mikoani magungure. Vikienda huko daslamu na vikiona mwanaume anavyopelekeshwa kimapenzi hadi anaandika mashairi ya mapenzi, vinakuwa contaminated vikirudi huku vinaanza kuwatesa wakina masumbuko. Masumbuko anashikwa hasira anapiga mtoto wa watu, kesho mnaona star tv habari ya mwanaume akamatwa kwa kosa la kumkata vidore mke wake.
Visichana vya dar tamaa mbele mbele. Kwenye mitandao vinajipost kuandika "rich and independent" huku vikiwa uchi uchi ( kumbe kahongwa tangu anaamiaka 16 had sasa ana 30 ameshika sana pesa). Sasa vibinti vya huko koromije vikiona hivyo basi havitaki maisha ya kubanwa banwa na ndoa, anataka awe free.