Vijana wa Gen Z wazingira Kanisa alimosali Rais Ruto na kulazimisha atoke nje waongee naye, Polisi wawadhibiti!

Vijana wa Gen Z wazingira Kanisa alimosali Rais Ruto na kulazimisha atoke nje waongee naye, Polisi wawadhibiti!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Hawa Watoto wa Gen Z ni hatari kwa kweli yaani hawaogopi kabisa polisi

Wamezingira Kanisa huku Rais Ruto akiwa humo ndani anaabudu

Inatisha sana, kibongobongo tungesema hawa Watoto wetu Wana mapepo

Credit: Hilda Newton Ukurasani X
 
Hawa Watoto wa Gen Z ni hatari kwa kweli yaani hawaogopi kabisa polisi

Wamezingira Kanisa huku Rais Ruto akiwa humo ndani anaabudu

Inatisha sana, kibongobongo tungesema hawa Watoto wetu Wana mapepo

Credit: Hilda Newton Ukurasani X
Yamebarikiwa matumbo yaliyowazaa hao vijana majasiri. Yamelaaniwa matumbo yaliyozaa machawa wote hapa Tanganyika.
 
Hawa Watoto wa Gen Z ni hatari kwa kweli yaani hawaogopi kabisa polisi

Wamezingira Kanisa huku Rais Ruto akiwa humo ndani anaabudu

Inatisha sana, kibongobongo tungesema hawa Watoto wetu Wana mapepo

Credit: Hilda Newton Ukurasani X
Wamegundua kuwa hata Rais naye ni binadamu kama wao ila kawazidi tu cheo, umri, fedha na labda shule.
 
Back
Top Bottom