johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Dunia ni kijijiCCM hawataki hizi habari zienee unaikumbuka ARAB SPRING? usituletee shida
Huku kwetu tu wastaarabu usitufananishe na wavuta bangi wa kenya. Hii nchi iko chini ya bikira maria baada ya papa paul wa pili kuiweka chini yake. Ndo maana ina baraka nyingi sanaCCM hawataki hizi habari zienee unaikumbuka ARAB SPRING? usituletee shida
Ni lazima kufuatilia Siasa zinazozunguka mipaka yetuBongo tuko busy sana na habari za Kenya, hili ndio tunaweza
Yamebarikiwa matumbo yaliyowazaa hao vijana majasiri. Yamelaaniwa matumbo yaliyozaa machawa wote hapa Tanganyika.Hawa Watoto wa Gen Z ni hatari kwa kweli yaani hawaogopi kabisa polisi
Wamezingira Kanisa huku Rais Ruto akiwa humo ndani anaabudu
Inatisha sana, kibongobongo tungesema hawa Watoto wetu Wana mapepo
Credit: Hilda Newton Ukurasani X
🔨Inatisha sana, kibongobongo tungesema hawa Watoto wetu Wana mapepo
Wamegundua kuwa hata Rais naye ni binadamu kama wao ila kawazidi tu cheo, umri, fedha na labda shule.Hawa Watoto wa Gen Z ni hatari kwa kweli yaani hawaogopi kabisa polisi
Wamezingira Kanisa huku Rais Ruto akiwa humo ndani anaabudu
Inatisha sana, kibongobongo tungesema hawa Watoto wetu Wana mapepo
Credit: Hilda Newton Ukurasani X