KERO Vijana wa Kata ya Kalobe jijini Mbeya walalamikia uwanja wao wa mazoezi kutumika kama barabara

KERO Vijana wa Kata ya Kalobe jijini Mbeya walalamikia uwanja wao wa mazoezi kutumika kama barabara

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

cadet

New Member
Joined
Feb 14, 2024
Posts
3
Reaction score
1
Vijana wa kata ya kalobe wamejikuta katika hali ya mshangao baada ya uwanja wao wa mazoezi kufanywa njia mbadala ya kupitia magari na vyombo vingine. Hali hii imewafanya vijana awa kushindwa kufanya mazoezi katika eneo lao la kila siku kwa kuofia afya zao.

Baada ya kutokea kwa jambo hilo vijana waliongea na viongozi wa mtaa huo lakini akuna ushirikiano wowote walio upata, na ukizingatia akuna uwanja mwingine ambao wanaweza kutumia kufanya mazoezi yao na uwanja huo pia unatumiwa na shule mbalimbali kufanya mazoezi yao kwakuwa ndo uwanja pekee uliopo katika kata hiyo.

 
Nilikuwa nasubiri solutions kumbe kijana katoa na solution kwamba wapitishe barabara ya kuchepuka shambani. Hao wasimamizi wameishakuwa wezi, wanachojali ni 10% bila kuangalia maisha ya wengine.
 
Diwani wa kata yao mwenyewe anakuambia tutaangalia tufanyaje na wamesha pewa solution hapo
 
Back
Top Bottom