Vijana wa kitanzania ni 'Keyboard Warriors'

Vijana wa kitanzania ni 'Keyboard Warriors'

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Serikali ya CCM itazidi kututesa kwasababu sisi ni waoga. Taifa linajengwa na vijana sio wazee, sasa sisi tunaishia kuandika mitandaoni tu kuandamana zero

Kuandamana tunaogopa, tuna fikra potofu kwamba suala la kutetea hili taifa lipo mikononi mwa Mbowe na Tundu Lissu na sio watanzania wote. Fanya wewe uwe sehemu ya mabadiliko usisubiri Mbowe wala Lema wala Tundu Lissu inabidi tuanze Sasa hivi harakati za maandamano kuipinga utekaji watu na watu kuuwawa

Inabidi baraza la mawaziri livunjwe, hata bunge hatulitaki maana silawanainchi lenyewe lipo kwaajili ya matajiri na waarabu na wazungu tu sio watanzania

Sisi wabongo waoga sana, unaogopa kufa Kati Kila siku watu wanakufa kwenye bus, Kwenye pikipiki, Kwenye hospital wengine wanadondoka tu chooni wanakufa
 
Serikali ya CCM itazidi kututesa na kutuuwa na kututeka kwasababu sisi ni waoga. Taifa linajengwa na vijana sio wazee, sasa sisi tunaishia kuandika mitandaoni tu kuandamana zero

Kuandamana tunaogopa, tuna fikra potofu kwamba suala la kutetea hili taifa lipo mikononi mwa mbowe na tundu lissu na sio watanzania wote. Fanya wewe uwe sehemu ya mabadiliko usisubiri mbowe wala lema wala tundu lissu inabidi tuanze Sasa hivi harakati za maandamano kuipinga serikali inateka watu watu wanakufa

Inabidi baraza la mawaziri livunjwe, hata bunge hatulitaki maana silawanainchi lenyewe lipo kwaajir ya matajiri na waarabu na wazungu tu sio watanzania

Sisi wabongo waoga sana, unaogopa kufa Kati Kila siku watu wanakufa kwenye bus, Kwenye pikipiki, Kwenye hospital wengine wanadondoka tu chooni wanakufa
Kumbe Gen Z wa upande wa pili wa Namanga wako vizuri.
Ila wanasema usimwamshe aliye lala kwani akiamka utalazwa wewe.
 
Mkuu siogopi kufa ila naogopa kufa kwa sababu ya aina hii ya watu.
1721328919848.jpg
 
Bora niwe muoga kuliko kufa kisa wajinga ambao mnastress za maisha magumu
 
Back
Top Bottom