Vijana wa mtaa acheni kuwashobokea wadada wa Vyuo

Vijana wa mtaa acheni kuwashobokea wadada wa Vyuo

yuzazifu

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2018
Posts
5,108
Reaction score
9,436
Natumai hamjambo wajumbe wa MMU

Wakuu nimekua nikishangazwa sana na hii tabia ya vijana wa mtaa walioishia form 4 na darasa la 7B, hawa vijana wakibahatika kudate na wadada wa chuo wanajisifia na kuwavimbia wenzao kitaa.

Cha ajabu hawa vijana wa mtaa wanapigwa pesa ndefu sana na hawa wadada bt hilo hawajali wao wanataka wapate sifa tu kitaa ya kudate na mwanachuo.

Laiti mngelijua mnaowashobokea ni wadangaji wasio chagua rika wanatembea hadi na vibabu sidhani kama mngepoteza mda wenu vile.

Niwajuze tu vijana wa mtaa kua wadada wengi wa vyuoni wanadanga kuliko hata wadada wa mtaani hivo acheni kuwashobokea hivo, wapo wachache wanaojielewa bt hao si rahisi kudate nanyi vijana wa mtaa.

Wadada wa chuo msinipopoe nilikua nawakumbusha jambo tu vijana wa mtaa.
 
Tukitoka na mama zenu mnatusengenya, tukitoka na shangazi zenu the same
Tukitoka na madada poa ndo vile vile
Tukipiga nyeto full shit
Tukitadate na mabeki tatu mnachonga
Tumehamia kwa wanachuo bado mmetuganda mnataka tufanyaje sasa?
 
Tukitoka na mama zenu mnatusengenya, tukitoka na shangazi zenu the same
Tukitoka na madada poa ndo vile vile
Tukipiga nyeto full shit
Tukitadate na mabeki tatu mnachonga
Tumehamia kwa wanachuo bado mmetuganda mnataka tufanyaje sasa?
naona mapicha picha sijui hata umeandika nini
 
Picha gani unaiona au unaona mama ako anachuma mchicha yaani mbooga
mkuu si busara kuwahusisha wazazi katika mambo yasowahusu, neno uloandika nikiligeuza upande wako nadhani litamaanisha vile vile coz nawe una mama
 
mkuu si busara kuwahusisha wazazi katika mambo yasowahusu, neno uloandika nikiligeuza upande wako nadhani litamaanisha vile vile coz nawe una mama
Mi nafkria tu picha gani uloiona wala sina maana hio
 
Back
Top Bottom