Elections 2015 Vijana wa Mtandao CCM/IT Masaki wamekata tamaa

Elections 2015 Vijana wa Mtandao CCM/IT Masaki wamekata tamaa

fakalava

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2015
Posts
4,459
Reaction score
6,027
Wanabodi,

Ni wazi kabisa kuwa kwa sasa ndani ya CCM mambo siyo swali kutokana na upepo wa Kampeini inayotumia.

Kwa sasa CCM wamekwishajua kuwa itakuwa ngumu sana Magufuli kushinda Urais dhidi ya Lowassa maana wanaona hakuna muujiza wa kuubadilisha upepo, ukiacha Ngamia kupita kwenye tundu la sindano zamu hii hata muujiza wa kumpitisha sungura haupo.

Hii hali imewafanya wakate tamaa kuanzia ile team ya campaign mpaka vijana wa mtandaoni wote wamekata tamaa na kuona kazi wanayoifanya haina maana na haitasaidia chochote.

Pamoja na kwamba anguko la CCM lilitarajiwa lakini si kwa ukubwa tunaouona kwa sasa.

Miongoni mwa sababu zilizochangia kuiporomosha CCM kwa speed ya Kimbunga ni:

1. Kutumia muda mwingi kufanya Kampeini za matusi wakimshambulia mgombea wa UKAWA, huku wakisahau kuzinadi sera zao.
2. Kuteua team ya Kampeini yenye uwezo mdogo, fikiria timu ambayo Kampeini manager ni Bulembo pia humo humo yumo Asampta Mshama, ni dhahiri hii timu haiwezi kuleta ushindi.
3. Hili anguko la CCM Mkapa anachangia pakubwa kwa matusi anayoendelea kuporomosha, kwa matusi aliyoyaporomosha pale Jangwani hakupaswa kupewa nafasi tena kusimama jukwaani, juzi kawaambia wanaume wanaotaka mabadiliko wanataka wabebe mimba kama wanawake.
4. Kitendo cha Magufuli kukiponda chama na kuwaponda Viongozi waliopita kuwa wamekiharibu chama, na yeye akichaguliwa kuwa Rais atafumua mfumo mzima wa chama na mfumo mzima wa Uongozi wa nchi.
Kwa ujumla haya maneno yamewakasirisha na kuwachukiza wengi ndani ya Chama, kwa maana Magufuli anazinadi sera zake binafsi badala ya kuinadi Ilani ya CCM.

Hizi ni sababu chache miongoni mwa sababu nyingi zinazokwenda kuiangusha CCM.

Tukutane 25-Oct 2015, naendelea kukinoa kichinjio changu.
 
Mr Chin yupo jamani?Maana huyu ni mmojawapo kati ya hao vijana.
Vinginevyo CCM imeshaanguka tayari,uchaguzi ukifanyika leo Magufuli atapata aibu na CCM yake hawatoamini.
 
Last edited by a moderator:
Erick Kabendera ambaye alikuwa centre ya Masaki, saizi anawapigia watu wa Ukawa simu vibaya sana.... Anataka kujisalimisha.... January Makamba anabunya ela zote, na dem wake Fina Mango...
 
Wameongeza IT center ya pili.

IT SINZA.

Baada ya IT masaki kuzidiwa.
 
Erick Kabendera ambaye alikuwa centre ya Masaki, saizi anawapigia watu wa Ukawa simu vibaya sana.... Anataka kujidalimisha.... January Makamba anabunya ela zote, na dem wake Fina Mango...

Haaa, kumbe! January anambunya Fina Embe
 
Mr Chin yupo jamani?Maana huyu ni mmojawapo kati ya hao vijana.
Vinginevyo CCM imeshaanguka tayari,uchaguzi ukifanyika leo Magufuli atapata aibu na CCM yake hawatoamini.

Huyu Mr.Chin kidogo ana roho ya Paka bado anapumua japo kwa machine.
 
Last edited by a moderator:
Erick Kabendera ambaye alikuwa centre ya Masaki, saizi anawapigia watu wa Ukawa simu vibaya sana.... Anataka kujidalimisha.... January Makamba anabunya ela zote, na dem wake Fina Mango...

Watu kwenye kampeni timu ya Magu wanakula sana hela ...huku watendaji njaa Hasa chini ..
Kuna mmoja juzi kavuta gari ya milioni 350 DT DOOBIE
 
aise ni kweli, wale majamaa hawapo tena huku, ata kwenye fiesta zao siku hizi kama vile wasanii wanakacha mdogo mdogo. kuna mmoja tu anapita pita huku anaandikaga comment zake na maandishi mekundu makubwa, huyu jamaa huwa na hasira na jazba juu. saivi wamebaki kulazimisha wafanyakazi kwenda kwenye mikutano yao kwa nguvu kwa kutumia kigezo cha kupoteza ajira.
 
Erick Kabendera ambaye alikuwa centre ya Masaki, saizi anawapigia watu wa Ukawa simu vibaya sana.... Anataka kujidalimisha.... January Makamba anabunya ela zote, na de.m wale Fina Mango...

Huyu marope naye alikuwa anautaka Urais kumbe ni muhuni tu. Hivi fina si ni mke wa mtu?
 
It Centre masaki kwishneyyyy, wameishiwa pumzi
 
Back
Top Bottom