Vijana wa Tandale acheni ujinga mtakuja kufa wote kwa pamoja

Mtetezi.com

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
3,134
Reaction score
3,584
Ebwana jana Alhamisi mida ya saa7 mchana nilikatiza maendeo ya Tandale nikiwa naelekea Sinza ebwana nilikutana na lundo la watu wasiopungua 30 wakiwa katikati ya barabara wakidai eti wamefiwa wanasimamisha magari wanadai michango!
What a new style!!
Waliponisimamisha nikajua ni panyaroad nikajipanga aidha kugonga au kufa na mtu palepale eti "Brazaaah tumefiwa na mwanetu tunaomba mchangoooo hatuelewi kabisa "
Aisee nilikasirika nikatoa jero nikawapa na kunyoosha mana nilijua endapo tukiendeleza malumbano lolote lingeweza kutokea!
My take wakazi wa Tandale wakanyeni watoto wenu tafadhali waache ujinga next time hatutasimama tutagonga na kusepa.
 
hiyo mitaa nidhamu ni ndogo sana, wakiamua kitu wanaona wako sawa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mjini shule uliamini kweli wamefiwa? Ungetaka kumuona marehemu ungejua kwanini maji yanaitwa mma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…