OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Just to make records clear kwa vijana wa UKUKU. Kwa akili zao ndogo wanadhani kutenguliwa kwa matokeo ya uchaguzi ni ushindi kwa Raila. Huu ni ushindi kwa demokrasia na utawala bora ambayo ni falsafa anayoiishi Rais Uhuru Kenyatta kwa vitendo. Rais Kenyatta ni mfano wa kuigwa ktk demokrasia barani Africa. Mara ngapi chaguzi zinafanyika nchi mbalimbali Afrika (ikiwemo Tanzania) na kunakua na "irregularities" nyingi lakini matokeo yanazuiwa kuwa challenged mahakamani?
Hapa kwetu kuchallenge matokeo ya Urais mahakamani ni "dhambi". Matokeo ya Urais hayapaswi kuhojiwa popote. Viongozi wa Afrika wamejigeuza "miungu watu". Kenyatta amevuka kiunzi hicho ambacho viongozi wengi wa Afrika (akiwemo JPM) wamekishindwa.
Kuna watu watasema ni issue ya Katiba. Ofcoz ni matakwa ya Katiba bora ya Kenya. Lakini Katiba bora bila viongozi bora wa kutekeleza ni kazi bure. Viongozi wa Afrika wamezoea kusigina Katiba bila kuhojiwa popote. JPM anasigina Katiba anavyotaka na hakuna anayethubutu kumchallenge. Kwahiyo hata Uhuru angeweza kusigina Katiba akaapishwa kama ilivyo desturi ya "madikteta uchwara" wa Afrika, and nothing could happen.
Lakini Uhuru akasema no. Akaamua kuheshimu Katiba. Uhuru anaamini kuwa Katiba ya Kenya ni kubwa kuliko yeye, anaamini Katiba ya Kenya ni sauti za wakenya. Hapa kwetu kuna mtu anaamini Katiba ya nchi ni kitu cha "hovyohovyo" na hata alipoilizwa Katiba mpya vipi, alisema "yuko busy na kunyoosha nchi kwanza". Uhuru anaamini ktk "independence" ya mihimili mitatu ya dola. Hapa kwetu kuna watu wanaamini mhimili mmoja umechimbiwa chini kuliko mingine.
So kwa ujumla Kenyatta ameonesha "maturity" ya juu sana katika demokrasia na utawala bora. Amefanya hata ambayo wazungu wasingeweza kufanya.
Nampongeza sana Uhuru kwa "maturity" hii kubwa ktk demokrasia. Nakipongeza chama changu Chadema kwa kumuunga mkono muumini wa kweli wa demokrasia kama Uhuru. Najivunia kumuunga mkono Uhuru.
Natabiri ushindi wa kishindo kwa Uhuru Kenyatta katika uchaguzi wa marudio hapo October 31. Naamini hata watu waliomnyima kura awali, sasa hivi wamepata kila sababu ua kumpigia kura na kumuombea kura. Uhuru ameprove ambayo wengi hawakutarajia. Hongera Kenya, hongera demokrasia. Kila la heri Uhuru.!
Credit Malisa GJ
Hapa kwetu kuchallenge matokeo ya Urais mahakamani ni "dhambi". Matokeo ya Urais hayapaswi kuhojiwa popote. Viongozi wa Afrika wamejigeuza "miungu watu". Kenyatta amevuka kiunzi hicho ambacho viongozi wengi wa Afrika (akiwemo JPM) wamekishindwa.
Kuna watu watasema ni issue ya Katiba. Ofcoz ni matakwa ya Katiba bora ya Kenya. Lakini Katiba bora bila viongozi bora wa kutekeleza ni kazi bure. Viongozi wa Afrika wamezoea kusigina Katiba bila kuhojiwa popote. JPM anasigina Katiba anavyotaka na hakuna anayethubutu kumchallenge. Kwahiyo hata Uhuru angeweza kusigina Katiba akaapishwa kama ilivyo desturi ya "madikteta uchwara" wa Afrika, and nothing could happen.
Lakini Uhuru akasema no. Akaamua kuheshimu Katiba. Uhuru anaamini kuwa Katiba ya Kenya ni kubwa kuliko yeye, anaamini Katiba ya Kenya ni sauti za wakenya. Hapa kwetu kuna mtu anaamini Katiba ya nchi ni kitu cha "hovyohovyo" na hata alipoilizwa Katiba mpya vipi, alisema "yuko busy na kunyoosha nchi kwanza". Uhuru anaamini ktk "independence" ya mihimili mitatu ya dola. Hapa kwetu kuna watu wanaamini mhimili mmoja umechimbiwa chini kuliko mingine.
So kwa ujumla Kenyatta ameonesha "maturity" ya juu sana katika demokrasia na utawala bora. Amefanya hata ambayo wazungu wasingeweza kufanya.
Nampongeza sana Uhuru kwa "maturity" hii kubwa ktk demokrasia. Nakipongeza chama changu Chadema kwa kumuunga mkono muumini wa kweli wa demokrasia kama Uhuru. Najivunia kumuunga mkono Uhuru.
Natabiri ushindi wa kishindo kwa Uhuru Kenyatta katika uchaguzi wa marudio hapo October 31. Naamini hata watu waliomnyima kura awali, sasa hivi wamepata kila sababu ua kumpigia kura na kumuombea kura. Uhuru ameprove ambayo wengi hawakutarajia. Hongera Kenya, hongera demokrasia. Kila la heri Uhuru.!
Credit Malisa GJ