Vijana wa zama- dar

Abunwasi

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2009
Posts
5,486
Reaction score
3,473
Hivi wana JF kuna anayekumbuka zile enzi zetu za u-bitoz mabugi kwenye kumbi kama The New Palace, Splendid, The Margots, Anatoglo, Princess, Bahari nk?? Bendi za The Sparks, The Tonics, The Revolution, Sunburst, Less Trippers [kabla ya kina marijani].
Nitafurahi sana kusikia kuwa baadhi ya wana JF ambao walikuwepo zile enzi.
 
Duu..nilivyoona kichwa cha habari nilifiki kuwa kuna vijana wamezama Dar..kumbe sivyo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…