Vijana wajuaji wa kibongo..utasikia...

Nizhneserginsky

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2017
Posts
268
Reaction score
568
"Fifa huniwezi bro"

"Mshikaji wangu katoboa kwa forex"

"kidimbwi michoro"

"Klopp kocha"

"Kilimo cha tikiti kinalipa sana"

"Nina mwanangu yupo china"

"Mondi sahiv anaandikiwa na mbosso"

"zuchu promo sana"

"OG bei zake huwezi"

"unampata sir jeff?"

"Aisha ananishobokea kinoma afu si-mindi wala nin"

Ongezea na wewe ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli OG bei yake huiwezi mfano jezi ya Juventus kwenye duka lao ni kuanzia Euro 70-140..hapo bado shipping pia bado TRA mzigo ukifika wanakuchaji kodi nusu bei ya ulioinunulia..utaweza..jombaa1😂😂😂 picha hio hapo kwa maelekezo zaidi...
 

Attachments

  • Screenshot_20220825-214010_Samsung Internet.jpg
    105.4 KB · Views: 13
Ningemuua liver saivi ....

Odd chache mzigo mkubwa

Mhindi mchawi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…