BIG THINKER
JF-Expert Member
- May 20, 2018
- 680
- 1,436
Hiki ndicho ninachokiona Mimi na ukikaa peke yako ukatafakari hili BANDIKO utakubaliana na Mimi Hawa vijana wametuzid sana sisi tuliozaliwa Mika ya 89 kurudi nyuma wengi wetu vichwa vyetu havina kitu zaid ya kuwa machawa kama akina mwijaku, baba levo na doto magari Hawa wote wamezaliwa Miaka ya 89 kurudi nyuma.
Angalia watoto wa 90's sasa wanavyotusua Kila Kona hawa jamaa wakikaa wanafiti kwenye mziki vijana wa 90's ndiyo wameleta mabadiliko mfano diamond mpatinum chib de, hamonize nk
Hata kwenye UTAFUTAJI nimeshuhudia vijana wengi wa 90's wanaingia mjini Hawana kitu ila baada ya muda wanakuwa na chawa wa Miaka ya 80's sisemi hakuna wa 80's wasiotusua wapo sema ni wachache wengi Wana mali za kurithi.
Tukija kwenye siasa hii nchi imeongozwa na sisi wa Miaka ya 80's kurudi nyuma na hakuna makubwa tuliyofanya zaid ya kupigana vikumbo na kusagiana kunguni hatuna mwelekeo wa maana hata katiba mpya imetushinda tunabaki tunalalamika tu, ila nawaamin vijana waliozaliwa Miaka ya 90's lolote wanaweza kufanya na hao ndiyo wataibadilisha hii nchi siyo sisi.
Hata hili sakata la MUUNGANO sisi wazee tunaoujua na kuukumbatua MUUNGANO siku tukitoka Duniani Hawa vijana wakakalia viti MUUNGANO kwa heri make ukiongea nao wengi hoja za MUUNGANO hawakubaliani nazo.
Vijana mliozaliwa Miaka ya 90 hadi Sasa ndiyo tegemeo pekee la hii nchi na ndiyo watatuletea katiba mpya sisi wengine acha tuendelee kuufyata.
Haya vijana uwanja ni wenu
Angalia watoto wa 90's sasa wanavyotusua Kila Kona hawa jamaa wakikaa wanafiti kwenye mziki vijana wa 90's ndiyo wameleta mabadiliko mfano diamond mpatinum chib de, hamonize nk
Hata kwenye UTAFUTAJI nimeshuhudia vijana wengi wa 90's wanaingia mjini Hawana kitu ila baada ya muda wanakuwa na chawa wa Miaka ya 80's sisemi hakuna wa 80's wasiotusua wapo sema ni wachache wengi Wana mali za kurithi.
Tukija kwenye siasa hii nchi imeongozwa na sisi wa Miaka ya 80's kurudi nyuma na hakuna makubwa tuliyofanya zaid ya kupigana vikumbo na kusagiana kunguni hatuna mwelekeo wa maana hata katiba mpya imetushinda tunabaki tunalalamika tu, ila nawaamin vijana waliozaliwa Miaka ya 90's lolote wanaweza kufanya na hao ndiyo wataibadilisha hii nchi siyo sisi.
Hata hili sakata la MUUNGANO sisi wazee tunaoujua na kuukumbatua MUUNGANO siku tukitoka Duniani Hawa vijana wakakalia viti MUUNGANO kwa heri make ukiongea nao wengi hoja za MUUNGANO hawakubaliani nazo.
Vijana mliozaliwa Miaka ya 90 hadi Sasa ndiyo tegemeo pekee la hii nchi na ndiyo watatuletea katiba mpya sisi wengine acha tuendelee kuufyata.
Haya vijana uwanja ni wenu