Vijana wamechoka kutupiwa lawama

Vijana wamechoka kutupiwa lawama

Saint Anne

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2018
Posts
76,039
Reaction score
230,142
Vijana nendeni shambani mkalime
Vijana msisubiri kuajiriwa
Vijana hawatumii akili
Vijana wamaliza oxygen [emoji23][emoji23][emoji23]
Vijana hawajitambui
Screenshot_20231024-124653.jpg
 
Hao Wazee wenzangu wangejitahidi wawapishe Vijana hizo ofisi zao nao wapate hizo ajira.

Mbona mwenzao nimestaafu zamani saivi nalima zangu Korosho tu huku Kusini [emoji2957]
Sasahivi yeyote atayeniambia nijiajiri, namwambia anipishe nikae nafasi yake,
Yeye aje nafasi yangu ya ujobless na atuonyeshe namna ya kujiajiri.
 
Sasahivi yeyote atayeniambia nijiajiri, namwambia anipishe nikae nafasi yake,
Yeye aje nafasi yangu ya ujobless na atuonyeshe namna ya kujiajiri.
Hahaha...............nimekumbuka stori ya Mkuu wa Mkoa fulani alikuwa anawaambia Vijana wajiajiri lakini baada ya kupigwa chini na JPM naye akaanza kulia lia eti ana familia na watoto wanamtegemea.

Ndiyo uone ujobless ni mgumu kiasi gani

Njoo Vijijini ulime na Babu yako huku 🤪
 
Hahaha...............nimekumbuka stori ya Mkuu wa Mkoa fulani alikuwa anawaambia Vijana wajiajiri lakini baada ya kupigwa chini na JPM naye akaanza kulia lia eti ana familia na watoto wanamtegemea.

Ndiyo uone ujobless ni mgumu kiasi gani

Njoo Vijijini ulime na Babu yako huku 🤪
Wanatuambia tulime
Tutalima vipi bila mbolea?
Tutalima vipi huku tuna njaa?


Naona serikalini itoe matamko kwa vitendo.
Wote walioajiriwa na serikali,waache kazi
Waje kutuonyesha kwa vitendo.
 
Back
Top Bottom