Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Vijana wameamua wapige vyombo.Vijana wenyewe wanasemaje
nako utaskia vijana punguzeni uleviVijana wameamua wapige vyombo.
Kila sehemu wanaandamwa😂
kubetiVijana wenyewe wanasemaje
Waache kutuandama.nako utaskia vijana punguzeni ulevi
Wanaosema tujiajiri ndio hao ambao wanagombania vyeo hadi wanatambika ili wapate.Mbunge anasema kijana jiajiri wakati yeye mwenyew kaajiriwa na serikali.
daaahWaache kutuandama.
Juzi tu mchungaji huko Kenya ametimua vijana wasomi kanisani kwake
Sasahivi yeyote atayeniambia nijiajiri, namwambia anipishe nikae nafasi yake,Hao Wazee wenzangu wangejitahidi wawapishe Vijana hizo ofisi zao nao wapate hizo ajira.
Mbona mwenzao nimestaafu zamani saivi nalima zangu Korosho tu huku Kusini [emoji2957]
Wsloshasema vijana ni chanzo Cha umeme kukatika[emoji23]Mazereu
Hahaha...............nimekumbuka stori ya Mkuu wa Mkoa fulani alikuwa anawaambia Vijana wajiajiri lakini baada ya kupigwa chini na JPM naye akaanza kulia lia eti ana familia na watoto wanamtegemea.Sasahivi yeyote atayeniambia nijiajiri, namwambia anipishe nikae nafasi yake,
Yeye aje nafasi yangu ya ujobless na atuonyeshe namna ya kujiajiri.
Wanamageuzi tunalala sana.. hiz zereu zimefika pomonWsloshasema vijana ni chanzo Cha umeme kukatika[emoji23]
Vijana wa Momba tunakwenda selo 😂Wanamageuzi tunalala sana.. hiz zereu zimefika pomon
Wanatuambia tulimeHahaha...............nimekumbuka stori ya Mkuu wa Mkoa fulani alikuwa anawaambia Vijana wajiajiri lakini baada ya kupigwa chini na JPM naye akaanza kulia lia eti ana familia na watoto wanamtegemea.
Ndiyo uone ujobless ni mgumu kiasi gani
Njoo Vijijini ulime na Babu yako huku 🤪
YaaniWanalaumiwa vijana ingali wanaongoza nchi n wazee .[emoji23][emoji23][emoji23]