Vijana wanakosa connection kwa kuomba omba hela

Vijana wanakosa connection kwa kuomba omba hela

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Kwa uzoefu wangu niliokutana nao hapa Tanzania na Africa nimegundua vijana watanzania wanaponzwa na kupenda kuomba hela, hii inaua connection kwa haraka sana.

Haya mambo sita unabidi kuyazingatia kijana

Kuhakikisha unakuwa Giver na sio taker.

Self improvement -jifunze namna ya kuwasiliana na Kuwasilisha jambo kwa lugha inayoeleweka.

Mungu - kuwa na misingi inayoenesha unazingatia uwepo Wa supernatural power.

Hakikisha wale watu wako muhimu hauwaombi hela bali kazi tu ,usiombe hela utaua brand mapema Sana.

Uaminifu - hakikisha unakuwa mwaminifu usiibe hata 50 ya MTU

Kushukuru - Gratitude iwe unafanya kila Siku
 
Kwa uzoefu wangu niliokutana nao hapa Tanzania na Africa nimegundua vijana watanzania wanaponzwa na kupenda kuomba hela ,hii inaua connection kwa haraka Sana.

Haya mambo sita unabidi kuyazingatia kijana

@ Kuhakikisha unakuwa Giver na sio taker.

@ Self improvement -jifunze namna ya kuwasiliana na Kuwasilisha jambo kwa lugha inayoeleweka.

@ Mungu - kuwa na misingi inayoenesha unazingatia uwepo Wa supernatural power.


@ hakikisha wale watu wako muhimu hauwaombi hela bali kazi tu ,usiombe hela utaua brand mapema Sana.

@ Uaminifu - hakikisha unakuwa mwaminifu usiibe hata 50 ya MTU

@ Kushukuru - Gratitude iwe unafanya kila Siku
Copy and paste
 
Utaua brand gn wakati huna pesa.?

Watakuaje Giver wakati hawana cha kutoa.?

Mm nawashauri watafute njia wanazoona ni rahisi kufanikiwa, kama ni ujambazi bc wafanye hvy.
In long run benefits you will end up being broke or you will lost Peace of mind

When you steal from other you steal from your self

Life is an Echo
 
Kuomba helaa na kupata Connection ni vitu viwili tofauti.

ACHA VIJANA WAOMBE HELAA!

PambanaZaidi/CottonandMore
 
Kuomba helaa na kupata Connection ni vitu viwili tofauti.

ACHA VIJANA WAOMBE HELAA!

PambanaZaidi/CottonandMore
HHAHAHAHA unapotosha ukiwa omba omba connection unakosa maana ni ngumu mtu mwenye akili timamu mwenye connection zake akubali kukukonekti na watu wa maana kwa maana utamwaibisha.
 
Back
Top Bottom