Vijana wanaoongozana na wachezaji uwanjani wakati wa ufunguzi wa mechi wana kazi gani?

Vijana wanaoongozana na wachezaji uwanjani wakati wa ufunguzi wa mechi wana kazi gani?

hmkuwe

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2013
Posts
361
Reaction score
265
Jumapili njema kwa kila mmoja wetu.

Ndugu zangu Nina jambo naomba kuuliza ukitazama mechi za ulaya kuna wale watoto ambao wakati timu zinaingia uwanjani wanakuwa wameongoza wa wachezaji hadi ndani ya pitch.nataka kujua wale watoto wanafanya kazi gani?

Natanguliza shukrani za dhati kwenu
 
Jumapili njema kwa kila mmoja wetu.
Ndugu zangu Nina jambo naomba kuuliza ukitazama mechi za ulaya kuna wale watoto ambao wakati timu zinaingia uwanjani wanakuwa wameongoza wa wachezaji hadi ndani ya pitch.nataka kujua wale watoto wanafanya kazi gani?
Natanguliza shukrani za dhati kwenu
Inspiration, (msukumo)
 
Jumapili njema kwa kila mmoja wetu.
Ndugu zangu Nina jambo naomba kuuliza ukitazama mechi za ulaya kuna wale watoto ambao wakati timu zinaingia uwanjani wanakuwa wameongoza wa wachezaji hadi ndani ya pitch.nataka kujua wale watoto wanafanya kazi gani?
Natanguliza shukrani za dhati kwenu
CCM chipukizi na scout mashuleni wana kazi gani atiiii????
 
Jumapili njema kwa kila mmoja wetu.
Ndugu zangu Nina jambo naomba kuuliza ukitazama mechi za ulaya kuna wale watoto ambao wakati timu zinaingia uwanjani wanakuwa wameongoza wa wachezaji hadi ndani ya pitch.nataka kujua wale watoto wanafanya kazi gani?
Natanguliza shukrani za dhati kwenu
Wale wote ni usalama wa taifa 😁
 
Jumapili njema kwa kila mmoja wetu.
Ndugu zangu Nina jambo naomba kuuliza ukitazama mechi za ulaya kuna wale watoto ambao wakati timu zinaingia uwanjani wanakuwa wameongoza wa wachezaji hadi ndani ya pitch.nataka kujua wale watoto wanafanya kazi gani?
Natanguliza shukrani za dhati kwenu
ninavyoelewa mimi wale huwa wapo kwenye academy za timu.
 
Jumapili njema kwa kila mmoja wetu.
Ndugu zangu Nina jambo naomba kuuliza ukitazama mechi za ulaya kuna wale watoto ambao wakati timu zinaingia uwanjani wanakuwa wameongoza wa wachezaji hadi ndani ya pitch.nataka kujua wale watoto wanafanya kazi gani?
Natanguliza shukrani za dhati kwenu
Watoto ni alama ya umoja mshikamano na furaha
 
shukrani sana Ila ningepata ufafanuzi zaidi ungenisaidia sana
Nitumie mfano wa rafiki kumbe mkifanya jambo mnalolipenda urafiki,(upendo huongezeka),vile vile baba akiwa muimbaji mtoto anaweza akarithi kipaji

Similarly, to love is to raise interest

Ukaribu hushawishi, kuhusu upendo unaweza ukawa humpendi mtu fulani lakini ukaribu wenu utawaunganisha mkawa wapenzi
 
shukrani sana Ila ningepata ufafanuzi zaidi ungenisaidia sana
Kuwajenga kiakili watoto wapende michezo na kuiga mazuri ya wakubwa wao.Kumjengea mtoto ujasiri wa kuwepo mbele za watu wengi na kuwaonesha kuwa jamii inawajali,kuwapenda na kuwa pamoja nao kwa hali na mali.Wafahamu kwamba zile ni timu zao na kuweka uzalendo kwao.Wigwa Mwanamalundi?Kama haujaelewa nakuchapa viboko.
 
BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.

1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.3.Magonwa na Maradhi
4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
5 AJIRA
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.

OKOENI TAIFA LENU LEO.
MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
 
Wale watoto wanaowasindikiza wachezaji uwanjani wana...

1. Kuhamasisha haki za watoto.
2. Kuhamasisha Upendo kwa watoto.
3. Ulinzi na Amani kwa watoto.

4. Kuchochea ndoto zao zifikiwe.
5. Umoja na mshikamano.
6. Ku chochea Maendeleo endelevu kwa vizazi vilivyopo na vijavyo.
 
Jumapili njema kwa kila mmoja wetu.

Ndugu zangu Nina jambo naomba kuuliza ukitazama mechi za ulaya kuna wale watoto ambao wakati timu zinaingia uwanjani wanakuwa wameongoza wa wachezaji hadi ndani ya pitch.nataka kujua wale watoto wanafanya kazi gani?

Natanguliza shukrani za dhati kwenu
Kazi yao ni hiyo tu kuongozana na wachezaji, na huwa wanalipia.
Mtoto hujisikia vizuri kuongozana na wachezaji maarufu
 
Jumapili njema kwa kila mmoja wetu.

Ndugu zangu Nina jambo naomba kuuliza ukitazama mechi za ulaya kuna wale watoto ambao wakati timu zinaingia uwanjani wanakuwa wameongoza wa wachezaji hadi ndani ya pitch.nataka kujua wale watoto wanafanya kazi gani?

Natanguliza shukrani za dhati kwenu
Waokota mipira elewa maana
 
Back
Top Bottom