Vijana wangu mnafeli wapi? Tatizo nini?

Vijana wangu mnafeli wapi? Tatizo nini?

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,106
Reaction score
12,916
Hili jambo sikutaka kuliweka hapa lakini nimeona nitoe sumu.

Nimewadhamini kazi kwa wadau tunao heshimiana sana nikiamini kwamba nimewatoa kanisani mtakuwa waaminifu kwenye kazi za watu, lakini kwa tamaa zenu mmenichafulia PR kwa wazee wenzangu.

Nakumbuka nilivyojifunga kwa maneno ya kinywa changu lakini kwa mlivyokosa adabu mngeomba hata samahani. Si kwa ubaya lakini bora kuchukua vijana msikitini manake si wadokozi.

Hili nililifanyia utafiti kitambo sana na ndio maana makampuni mengi yenye madereva wanaoswali hukua siku hadi siku.

...UBAYA UBWELA...
 
Hili jambo sikutaka kuliweka hapa lakini nimeona nitoe sumu.
Nimewadhamini kazi kwa wadau tunao heshimiana sana.
Nikiamini kwamba nimewatoa kanisani mtakuwa waaminifu kwenye kazi za watu....lakini kwa tamaa zenu mmenichafulia PR kwa wazee wenzangu.
Nakumbuka nilivyojifunga kwa maneno ya kinywa changu....lakini kwa mlivyokosa adabu mngeomba hata samahani......
Si kwa ubaya lakini bora kuchukua vijana msikitini manake si wadokozi...
Hili nililifanyia utafiti kitambo sana....na ndio maana makampuni mengi yenye madereva wanaoswali hukua siku hadi siku.
..............UBAYA UBWELA........
Waumini wa kanisa la kiboko wa wachawi hao
 
Hili jambo sikutaka kuliweka hapa lakini nimeona nitoe sumu.
Nimewadhamini kazi kwa wadau tunao heshimiana sana.
Nikiamini kwamba nimewatoa kanisani mtakuwa waaminifu kwenye kazi za watu....lakini kwa tamaa zenu mmenichafulia PR kwa wazee wenzangu.
Nakumbuka nilivyojifunga kwa maneno ya kinywa changu....lakini kwa mlivyokosa adabu mngeomba hata samahani......
Si kwa ubaya lakini bora kuchukua vijana msikitini manake si wadokozi...
Hili nililifanyia utafiti kitambo sana....na ndio maana makampuni mengi yenye madereva wanaoswali hukua siku hadi siku.
..............UBAYA UBWELA........
Ivi bdo kuna watu wanawaamn awa Bwana yesu asifiwe alaf askulambe ww uko Arusha nisha shuhudia jengo lakanisa unaambiwa liligarim 3bilion sasa hao n wazee wakanisa je vjana sasa?
 
Hili jambo sikutaka kuliweka hapa lakini nimeona nitoe sumu.
Nimewadhamini kazi kwa wadau tunao heshimiana sana.
Nikiamini kwamba nimewatoa kanisani mtakuwa waaminifu kwenye kazi za watu....lakini kwa tamaa zenu mmenichafulia PR kwa wazee wenzangu.
Nakumbuka nilivyojifunga kwa maneno ya kinywa changu....lakini kwa mlivyokosa adabu mngeomba hata samahani......
Si kwa ubaya lakini bora kuchukua vijana msikitini manake si wadokozi...
Hili nililifanyia utafiti kitambo sana....na ndio maana makampuni mengi yenye madereva wanaoswali hukua siku hadi siku.
..............UBAYA UBWELA........
Uislamu utabaki kua Uislamu tuu

Anaepinga na apinge ila ukweli ndo huo
 
Ungekuja na kuwalaum hao uliowatoa kanisani na kuwapa kazi na sio kushutumu jamii mzima ya wakristo!!, kwahiyo hao kina muhamadi ndio sio majizi?. Mo ni Bilinear lakini bado anaiibia Simba na anaenda msikitini sembuse pangupakavu?. Uaminifu na wizi ni hulka ya mtu .
 
Hili jambo sikutaka kuliweka hapa lakini nimeona nitoe sumu.
Nimewadhamini kazi kwa wadau tunao heshimiana sana.
Nikiamini kwamba nimewatoa kanisani mtakuwa waaminifu kwenye kazi za watu....lakini kwa tamaa zenu mmenichafulia PR kwa wazee wenzangu.
Nakumbuka nilivyojifunga kwa maneno ya kinywa changu....lakini kwa mlivyokosa adabu mngeomba hata samahani......
Si kwa ubaya lakini bora kuchukua vijana msikitini manake si wadokozi...
Hili nililifanyia utafiti kitambo sana....na ndio maana makampuni mengi yenye madereva wanaoswali hukua siku hadi siku.
..............UBAYA UBWELA........
Aaaadrriiiizzzzz adriz huko wapi mutu wangu wa nguvu? Njoo hapa kijiweni tukufundisha kuvuta bangeili uishi maisha makamilifu aaadriiiz mbrrr mbrrrr mbrr. Chukua hiyooo aiii mbrrrr
 
Wizi ni tabia ya mtu tu,
Kukosa uaminifu kwa baadhi ya vijana,hupelekea kuwaharibia sifa mpaka vijana ambao ni waaminifu,

Issue ya uaminifu inaanzia kwenye malezi tokea mtoto anapozaliwa na mpaka hatua anazopitia kwenye makuzi yake.
 
Ivi bdo kuna watu wanawaamn awa Bwana yesu asifiwe alaf askulambe ww uko Arusha nisha shuhudia jengo lakanisa unaambiwa liligarim 3bilion sasa hao n wazee wakanisa je vjana sasa?
Ni mtihani sana
 
Wizi ni tabia ya mtu tu,
Kukosa uaminifu kwa baadhi ya vijana,hupelekea kuwaharibia sifa mpaka vijana ambao ni waaminifu,

Issue ya uaminifu inaanzia kwenye malezi tokea mtoto anapozaliwa na mpaka hatua anazopitia kwenye makuzi yake.
Sasa tuwasaidiaje? Nini kifanyike?
Kweli nakubaliana na wewe vijana waaminifu wapo lakini tutawajuaje? Manake hao wahuni niliowadhamini kwa kuwa angalia hawafananii na mambo waliyoyafanya.
 
Back
Top Bottom