Tetesi: Vijana wapanga mageuzi 2020

Tetesi: Vijana wapanga mageuzi 2020

Vugu-Vugu

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2017
Posts
1,381
Reaction score
1,600
Amani iwe kwenu,

Jf 4ever,

Taarifa za chinichini zinatanabaisha kuwa wale vijana watatu( tatu bomba) toka chama cha kijani, Tayari wameshaanza kujidhatiti ndani na inje ya chama chao ili ifikapo 2020 kwenye uchaguzi wa ndani ya chama hicho, Mmoja kati yao aingize jina lake ili kupambana na mtukufu aliyeko madarakani, Kawaida ya chama hiki huwa kinamazoea/busara na kauli mbiu ya kusema "mwacheni mwenyekiti amalizie muda wake" vijana hawa wameapa kupambana na mtukufu hadi tone la mwisho, Madai yao nikwamba kwanini aliwatosa.

Hata baada ya kuiba kura kwa upinzani ili yeye ashinde, Kwanini awateue kuwa mawaziri kwenye wizara zitakazowafanya wasijipatie political influence/umaarufu wa kisiasa kwa jamii, Na mtukufu kuamua kuibua vijana kama akina Bashite na wenzake ili kuzika kabisa ndoto za vijana hawa mashuhuri na wapambanaji wa kweli ndani ya chama kikongwe kabisa barani Africa na Duniani kwa ujumla, Mnyetishaji pia anadodoa kuwa mtukufu tayari ameshawanote na yeye ameahidi kuwatosa hivi punde kwenye nafasi zao hizo, Evidence , Uteuzi wa wabunge wa bunge la jamhuri ya muungano,

Watatu hawa wanasema tayari wanawabunge na viongozi wengine wengi inje na ndani ya chama wanawaunga mkono hasa kutokana na utendaji dhaifu wa mtukufu na ukiukaji mkubwa wa sheria za inchi migogoro na wapinzani,kauli za kibabe kitendo ambacho kimezorotesha sana uchumi wa watanzania hasa wakipato cha chini na kati,

Nitaendelea kuwalete VUGUVUGU hili kwa kadiri nitakavyonyetishwa
 
Naona hapa unawaongelea hawa:
1, Nape Nnauye
2. Mwigulu Nchemba
3.January Makamba

Hawa sidhani kama wapo happy sana awamu hii.
Hawa ni vijana pekee ambao wamejitoa sadaka kumtoa Magu 2020.
Nadhani hata wazee wa chama wako upande wao kwa kiasi kikubwa sana.
 
uongo tu wote hao ni watafuta kitu cha tumbo tu hawawezi mpinga mkulu labda unaota.
 
Amani iwe kwenu,

Jf 4ever,

Taarifa za chinichini zinatanabaisha kuwa wale vijana watatu( tatu bomba) toka chama cha kijani, Tayari wameshaanza kujidhatiti ndani na inje ya chama chao ili ifikapo 2020 kwenye uchaguzi wa ndani ya chama hicho, Mmoja kati yao aingize jina lake ili kupambana na mtukufu aliyeko madarakani, Kawaida ya chama hiki huwa kinamazoea/busara na kauli mbiu ya kusema "mwacheni mwenyekiti amalizie muda wake" vijana hawa wameapa kupambana na mtukufu hadi tone la mwisho, Madai yao nikwamba kwanini aliwatosa.

Hata baada ya kuiba kura kwa upinzani ili yeye ashinde, Kwanini awateue kuwa mawaziri kwenye wizara zitakazowafanya wasijipatie political influence/umaarufu wa kisiasa kwa jamii, Na mtukufu kuamua kuibua vijana kama akina Bashite na wenzake ili kuzika kabisa ndoto za vijana hawa mashuhuri na wapambanaji wa kweli ndani ya chama kikongwe kabisa barani Africa na Duniani kwa ujumla, Mnyetishaji pia anadodoa kuwa mtukufu tayari ameshawanote na yeye ameahidi kuwatosa hivi punde kwenye nafasi zao hizo, Evidence , Uteuzi wa wabunge wa bunge la jamhuri ya muungano,

Watatu hawa wanasema tayari wanawabunge na viongozi wengine wengi inje na ndani ya chama wanawaunga mkono hasa kutokana na utendaji dhaifu wa mtukufu na ukiukaji mkubwa wa sheria za inchi migogoro na wapinzani,kauli za kibabe kitendo ambacho kimezorotesha sana uchumi wa watanzania hasa wakipato cha chini na kati,

Nitaendelea kuwalete VUGUVUGU hili kwa kadiri nitakavyonyetishwa
Mods futa hii mada mara moja inaleta uchochezi,haina ushahidi wowote
 
what are you trying to get here? Imalisheni uchumi wa nchi unao zorota kila kukicha,fuata sheria za nchi na heshimu utu wa mtu/watu ..then hutopata woga wa kupigwa chini ama kupingwa ndani ya chama.# Adui nambamoja wa nchi yetu ni UJINGA#
 
Namuona mtukufu akijiunga CUF ya lipumba
 
We mleta mada una mhemko daah hasa neno " kimenuka" nilifikiri kama yale ya Tunisia daah umeniogopesha sana aisee weka chanzo cha taarifa ulioileta
 
Back
Top Bottom