Vijana wapo hatarini zaidi kupoteza nguvu za kiume, matumizi ya ndimu ya unga yamekithiri mno

Vijana wapo hatarini zaidi kupoteza nguvu za kiume, matumizi ya ndimu ya unga yamekithiri mno

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Upatikanaji wa ndimu umekuwa adimu sana kipindi hiki na bei zake zimechangamka sana.

Mbadala wa wafanyabishara wengi wa chakula wanatumia ndimu ya unga, na ni sehemu nyingi sana kwa sasa ndio ndimu wanayoitumia.

Ndimu ya unga ni kisababishi kikuu cha kulegeza uume , hivyo kwa hii hali inayoendelea sasa msishangae baada ya miaka michache ijayo vijana wengi kuzidi kuishiwa nguvu za kiume.

Mwanaume usikubali kula chakula kilichopikwa na ndimu ya unga , ikiwezekana kama unakula mgahawani huo mgahawa uhame kabisa.
 
Upatikanaji wa ndimu umekuwa adimu sana kipindi hiki na bei zake zimechangamka sana.

Mbadala wa wafanyabishara wengi wa chakula wanatumia ndimu ya unga, na ni sehemu nyingi sana kwa sasa ndio ndimu wanayoitumia.

Ndimu ya unga ni kisababishi kikuu cha kulegeza uume , hivyo kwa hii hali inayoendelea sasa msishangae baada ya miaka michache ijayo vijana wengi kuzidi kuishiwa nguvu za kiume.

Mwanaume usikubali kula chakula kilichopikwa na ndimu ya unga , ikiwezekana kama unakula mgahawani huo mgahawa uhame kabisa.
Hizo nguvu za kiume watapoteza mara ngapi
 
Upatikanaji wa ndimu umekuwa adimu sana kipindi hiki na bei zake zimechangamka sana.

Mbadala wa wafanyabishara wengi wa chakula wanatumia ndimu ya unga, na ni sehemu nyingi sana kwa sasa ndio ndimu wanayoitumia.

Ndimu ya unga ni kisababishi kikuu cha kulegeza uume , hivyo kwa hii hali inayoendelea sasa msishangae baada ya miaka michache ijayo vijana wengi kuzidi kuishiwa nguvu za kiume.

Mwanaume usikubali kula chakula kilichopikwa na ndimu ya unga , ikiwezekana kama unakula mgahawani huo mgahawa uhame kabisa.
Nguvu unapeleka wapiii wewe maisha magumu Milo mitatu shida tu
 
Upatikanaji wa ndimu umekuwa adimu sana kipindi hiki na bei zake zimechangamka sana.

Mbadala wa wafanyabishara wengi wa chakula wanatumia ndimu ya unga, na ni sehemu nyingi sana kwa sasa ndio ndimu wanayoitumia.

Ndimu ya unga ni kisababishi kikuu cha kulegeza uume , hivyo kwa hii hali inayoendelea sasa msishangae baada ya miaka michache ijayo vijana wengi kuzidi kuishiwa nguvu za kiume.

Mwanaume usikubali kula chakula kilichopikwa na ndimu ya unga , ikiwezekana kama unakula mgahawani huo mgahawa uhame kabisa.
Chai
 
Back
Top Bottom