Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Wafanya biashara ya chakula haswa wapika supu wanaona kwako ni hasara.Ndimu za unga za Nini wakati ndimu fresh ni 3 mia5
Ndimu ya unga sio nzuri kijana.kila kitu mnasema kinamaliza nguvu naona sasa hamtaki tule! basi tufungeni tu tujue moja!
Hizo nguvu za kiume watapoteza mara ngapiUpatikanaji wa ndimu umekuwa adimu sana kipindi hiki na bei zake zimechangamka sana.
Mbadala wa wafanyabishara wengi wa chakula wanatumia ndimu ya unga, na ni sehemu nyingi sana kwa sasa ndio ndimu wanayoitumia.
Ndimu ya unga ni kisababishi kikuu cha kulegeza uume , hivyo kwa hii hali inayoendelea sasa msishangae baada ya miaka michache ijayo vijana wengi kuzidi kuishiwa nguvu za kiume.
Mwanaume usikubali kula chakula kilichopikwa na ndimu ya unga , ikiwezekana kama unakula mgahawani huo mgahawa uhame kabisa.
Nguvu unapeleka wapiii wewe maisha magumu Milo mitatu shida tuUpatikanaji wa ndimu umekuwa adimu sana kipindi hiki na bei zake zimechangamka sana.
Mbadala wa wafanyabishara wengi wa chakula wanatumia ndimu ya unga, na ni sehemu nyingi sana kwa sasa ndio ndimu wanayoitumia.
Ndimu ya unga ni kisababishi kikuu cha kulegeza uume , hivyo kwa hii hali inayoendelea sasa msishangae baada ya miaka michache ijayo vijana wengi kuzidi kuishiwa nguvu za kiume.
Mwanaume usikubali kula chakula kilichopikwa na ndimu ya unga , ikiwezekana kama unakula mgahawani huo mgahawa uhame kabisa.
ChaiUpatikanaji wa ndimu umekuwa adimu sana kipindi hiki na bei zake zimechangamka sana.
Mbadala wa wafanyabishara wengi wa chakula wanatumia ndimu ya unga, na ni sehemu nyingi sana kwa sasa ndio ndimu wanayoitumia.
Ndimu ya unga ni kisababishi kikuu cha kulegeza uume , hivyo kwa hii hali inayoendelea sasa msishangae baada ya miaka michache ijayo vijana wengi kuzidi kuishiwa nguvu za kiume.
Mwanaume usikubali kula chakula kilichopikwa na ndimu ya unga , ikiwezekana kama unakula mgahawani huo mgahawa uhame kabisa.
AiseeWafanya biashara ya chakula haswa wapika supu wanaona kwako ni hasara.
Mbadala wale ndio huo wanaweka ndimu ya unga.
Tena mbaya zaidi wanaunga moja kwa moja
majanga kila sehemu.Hizo nguvu za kiume watapoteza mara ngapi
AiseeNguvu unapeleka wapiii wewe maisha magumu Milo mitatu shida tu
Sifahamu wanatengeneza vipi huko viwandaji , ila jua tu kwamba ina legeza uume.Hivi ndimu ya unga inatengenezwaje
Ulifanya tafiti wapi? Mpaka zina ruhusiwa TBS na wengine si wame jiridhiisha ni salama kutumika kwa binadamu.Sifahamu wanatengeneza vipi huko viwandaji , ila jua tu kwamba ina legeza uume.
Vipo vingi vina madhara kiafya mbona vinaruhusiwa?Ulifanya tafiti wapi? Mpaka zina ruhusiwa TBC na wengine si wame jiridhiisha ni salama kutumika kwa binadamu.
Sema TBS mkuuUlifanya tafiti wapi? Mpaka zina ruhusiwa TBC na wengine si wame jiridhiisha ni salama kutumika kwa binadamu.
Huwa wanatoa onyo mfano sigara.Vipo vingi vina madhara kiafya mbona vinaruhusiwa?
Mf sigara , pombe , energy drinks ,kuku wa kisasa nk.
Sure mkuu just writing error.Sema TBS mkuu