Kumekuwa na mashindano mengi ya mpira hasa mpira wa miguu kwenye majimbo na kata mbali mbali nchini.
Kwa jicho la kawaida ni jambo zuri lakini kama ukijiuliza ni kwanini ije kipindi hichi na sio miaka miwili au tatu iliyopita tena ikija na ahadi nyingi na fedha nyingi basi utagundua ni siasa imejaa na viongozi wanajiweka karibu na vijana ambao ndio wengi kwa idadi hapa nchini ili waweze kupata kura zao.
Maoni yangu au wito wangu kwa vijana wasiache kushiriki hiyo michezo washiriki na kama kuna fedha wachukue wasichezee fursa ila wawatathimini hao viongozi kwa ahadi zao walizozitoa uchaguzi uliopita je wamezitimiza? Na wasichague viongozi kwa mihemuko ya kivyama au chuki kwa chama fulani ila wachague kwa kigezo cha uwajibikaji sera bora na ahadi zinazotimizika.
Kwa jicho la kawaida ni jambo zuri lakini kama ukijiuliza ni kwanini ije kipindi hichi na sio miaka miwili au tatu iliyopita tena ikija na ahadi nyingi na fedha nyingi basi utagundua ni siasa imejaa na viongozi wanajiweka karibu na vijana ambao ndio wengi kwa idadi hapa nchini ili waweze kupata kura zao.
Maoni yangu au wito wangu kwa vijana wasiache kushiriki hiyo michezo washiriki na kama kuna fedha wachukue wasichezee fursa ila wawatathimini hao viongozi kwa ahadi zao walizozitoa uchaguzi uliopita je wamezitimiza? Na wasichague viongozi kwa mihemuko ya kivyama au chuki kwa chama fulani ila wachague kwa kigezo cha uwajibikaji sera bora na ahadi zinazotimizika.