Pre GE2025 Vijana Wazalendo wenye nia ya dhati kugombea nafasi ya Ubunge au Udiwani njooni hapa tupeane mawazo

Pre GE2025 Vijana Wazalendo wenye nia ya dhati kugombea nafasi ya Ubunge au Udiwani njooni hapa tupeane mawazo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Wolle Melkas Fernando

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2016
Posts
253
Reaction score
360
Binafsi mwaka huu 2025 nataka Kugombea moja ya Jimbo ambalo mpaka Sasa linaongozwa na Mbunge ambaye ni Waziri kwa Sasa na amedumu kwa miaka 25.

Wananchi Jimboni hawamtaki lakini juu huku yeye ni chawa mmoja hatari sana. Mara zote yeye hupita kwa njia ya Rushwa.

Sasa ukilinganisha Uchumi wake wa kuhonga ni mkubwa sana na mbaya zaidi watu huwa wanamuogopa kwahiyo hawawezi kutangaza nia ya kugombea kwasababu wanaamini ni mshirikina yaani mchawi, Mimi Binafsi siamini na ndio maana nimejiamini mwaka huu 2025 nitagombea na yeye ataona kwa macho yake.

Sasa huu mwaka 2025 wadau wanaopenda kuwasaidia Wananchi kwenye Kata na majimbo tufanye mabadiliko kuwepo na sura mpya na mawazo mapya naamini itasaidia kuliko kuwa na mawazo yaleyale miaka 15 mpaka 30 huku tukitarajia kupata Matokeo tofauti.

Wadau tupeane mawazo namna gani ya kuwaangusha hawa vigogo waliozoea kufanya kazi kwa mazoea na kudhani Kata au Jimbo ni Mali ya familia zao?
 
Binafsi mwaka huu 2025 nataka Kugombea moja ya Jimbo ambalo mpaka Sasa linaongozwa na Mbunge ambaye ni Waziri kwa Sasa na amedumu kwa miaka 25.

Wananchi Jimboni hawamtaki lakini juu huku yeye ni chawa mmoja hatari sana. Mara zote yeye hupita kwa njia ya Rushwa.

Sasa ukilinganisha Uchumi wake wa kuhonga ni mkubwa sana na mbaya zaidi watu huwa wanamuogopa kwahiyo hawawezi kutangaza nia ya kugombea kwasababu wanaamini ni mshirikina yaani mchawi, Mimi Binafsi siamini na ndio maana nimejiamini mwaka huu 2025 nitagombea na yeye ataona kwa macho yake.

Sasa huu mwaka 2025 wadau wanaopenda kuwasaidia Wananchi kwenye Kata na majimbo tufanye mabadiliko kuwepo na sura mpya na mawazo mapya naamini itasaidia kuliko kuwa na mawazo yaleyale miaka 15 mpaka 30 huku tukitarajia kupata Matokeo tofauti.

Wadau tupeane mawazo namna gani ya kuwaangusha hawa vigogo waliozoea kufanya kazi kwa mazoea na kudhani Kata au Jimbo ni Mali ya familia zao?
Shauri yako walimu wameunda NETO wakuu mbali mbali wakaiona sio NETO ni NATO wakawasukumia ndani huko sasa wewe unataka ukagombee kwa mzee kitambi wa tangu enzi za Nyerere yupo tuu🤣
 
Binafsi mwaka huu 2025 nataka Kugombea moja ya Jimbo ambalo mpaka Sasa linaongozwa na Mbunge ambaye ni Waziri kwa Sasa na amedumu kwa miaka 25.

Wananchi Jimboni hawamtaki lakini juu huku yeye ni chawa mmoja hatari sana. Mara zote yeye hupita kwa njia ya Rushwa.

Sasa ukilinganisha Uchumi wake wa kuhonga ni mkubwa sana na mbaya zaidi watu huwa wanamuogopa kwahiyo hawawezi kutangaza nia ya kugombea kwasababu wanaamini ni mshirikina yaani mchawi, Mimi Binafsi siamini na ndio maana nimejiamini mwaka huu 2025 nitagombea na yeye ataona kwa macho yake.

Sasa huu mwaka 2025 wadau wanaopenda kuwasaidia Wananchi kwenye Kata na majimbo tufanye mabadiliko kuwepo na sura mpya na mawazo mapya naamini itasaidia kuliko kuwa na mawazo yaleyale miaka 15 mpaka 30 huku tukitarajia kupata Matokeo tofauti.

Wadau tupeane mawazo namna gani ya kuwaangusha hawa vigogo waliozoea kufanya kazi kwa mazoea na kudhani Kata au Jimbo ni Mali ya familia zao?
Gentleman,
una mawazo na fikra gani mpya mbadala na bora zaidi kuliko hizo unazodai ni za mazoea?🐒
 
Sina uzoefu na siasa, lakini Apo kwenye ubunge hakuna nafasi ya vijana ni wazee Tu, Tena matapeli wala rushwa.
Kijana ukitaka ubunge uwe na connection na Muokoto mrefu .
 
Binafsi mwaka huu 2025 nataka Kugombea moja ya Jimbo ambalo mpaka Sasa linaongozwa na Mbunge ambaye ni Waziri kwa Sasa na amedumu kwa miaka 25.

Wananchi Jimboni hawamtaki lakini juu huku yeye ni chawa mmoja hatari sana. Mara zote yeye hupita kwa njia ya Rushwa.

Sasa ukilinganisha Uchumi wake wa kuhonga ni mkubwa sana na mbaya zaidi watu huwa wanamuogopa kwahiyo hawawezi kutangaza nia ya kugombea kwasababu wanaamini ni mshirikina yaani mchawi, Mimi Binafsi siamini na ndio maana nimejiamini mwaka huu 2025 nitagombea na yeye ataona kwa macho yake.

Sasa huu mwaka 2025 wadau wanaopenda kuwasaidia Wananchi kwenye Kata na majimbo tufanye mabadiliko kuwepo na sura mpya na mawazo mapya naamini itasaidia kuliko kuwa na mawazo yaleyale miaka 15 mpaka 30 huku tukitarajia kupata Matokeo tofauti.

Wadau tupeane mawazo namna gani ya kuwaangusha hawa vigogo waliozoea kufanya kazi kwa mazoea na kudhani Kata au Jimbo ni Mali ya familia zao?
Huyo mzee amekaa miaka mingi kwasababu ya chaguzi kuwa za rushwa. Na kwa bahati mbaya vijana wa ccm mmekubali kuwa machawa wa walioko madarakani ndio maana hamuungi mkono upatikanaji wa katiba mpya.
 
Gentleman,
una mawazo na fikra gani mpya mbadala na bora zaidi kuliko hizo unazodai ni za mazoea?🐒
Kwanza kwenye hilo Jimbo Kuna ukiritimba mwingi sana ambao imefanyika. Kuna wachimbaji wadogo walinyang'anywa maeneo yao na huyo Waziri alipata plot yake, Kuna pesa ya mradi wa maji billion 4 zilifyekwa na huyo Waziri yupo.

Lile Jimbo halijawahi kuwa na barabara ya kiwango Cha angalau changarawe tangu lianzishwe miaka 40 iliyopita, wengi watasema barabara sio kazi ya mbunge lakini mbunge anapaswa kukaza buti kupeleka hoja Bungeni lakini yeye karidhika na uwaziri tu.

Kwa ufupi wananchi wa Lile Jimbo wanaishi kama vile sio Watanzania, hawajawahi kuonja ladha ya kuwa na muwakilishi wa mambo yao ila Wana mtu anayewakilisha mambo yake kupitia mgongo wa Wananchi.
 
Kwanza kwenye hilo Jimbo Kuna ukiritimba mwingi sana ambao imefanyika. Kuna wachimbaji wadogo walinyang'anywa maeneo yao na huyo Waziri alipata plot yake, Kuna pesa ya mradi wa maji billion 4 zilifyekwa na huyo Waziri yupo.

Lile Jimbo halijawahi kuwa na barabara ya kiwango Cha angalau changarawe tangu lianzishwe miaka 40 iliyopita, wengi watasema barabara sio kazi ya mbunge lakini mbunge anapaswa kukaza buti kupeleka hoja Bungeni lakini yeye karidhika na uwaziri tu.

Kwa ufupi wananchi wa Lile Jimbo wanaishi kama vile sio Watanzania, hawajawahi kuonja ladha ya kuwa na muwakilishi wa mambo yao ila Wana mtu anayewakilisha mambo yake kupitia mgongo wa Wananchi.
anyway nakubali hayo yote,
na naweza kusema ni sawa kabisa gentleman,

but ni kipi kitu kipya kutoka kwako hata wananchi wasema this gentleman ndio mtu sahihi na WA maana zaidi kua muwakilishi wao mjengoni?

nini kinakutambulisha wewe kama ndio mtu sahihi kwa nafasi hiyo hapo jimboni?🐒
 
Bila kuboresha mfumo mzima wa uchaguzi hakuna kijana mzalendo atafanikiwa kwenye lolote kwenye nchi hii.

Sasaivi vinaja wazalendo agenda yao ni moja tu NO REFORM NO ELECTION
 
anyway nakubali hayo yote,
na naweza kusema ni sawa kabisa gentleman,

but ni kipi kitu kipya kutoka kwako hata wananchi wasema this gentleman ndio mtu sahihi na WA maana zaidi kua muwakilishi wao mjengoni?

nini kinakutambulisha wewe kama ndio mtu sahihi kwa nafasi hiyo hapo jimboni?🐒
1. Usimamizi wa rasilimali za Jimbo kwaajili ya kuwanufaisha Wananchi wenyewe mfano hiyo migodi ya wachimbaji wadogo. Kwanza nilipambana mwanzo mwisho mpaka wakaanza kunitishia. Lakini vita haijaisha.

2. Usimamizi wa fedha za miradi ya Wananchi tofauti na yeye pesa zililiwa na hakuna majibu mpaka leo.

3. Kuwa na Mipango ya kimkakati ya Jimbo kwaajili ya kuwasaidia wananchi kujikwamua kiuchumi...kuwatafutia wananchi soko la mazao yao tofauti na Sasa wanalaliwa bei na wafanyabiashara.

4. Kuhakikisha kunakuwa na barabara angalau moja inayopitika mwaka mzima kwaajili ya biashara na masuala mengine ya Kijamii hicho kitu hakipo na hajaweza kufanya 20 yrs now. Mambo ni mengi sana ambayo mimi nitafanya tofauti kabisa na yeye alivyozoea.
 
Binafsi mwaka huu 2025 nataka Kugombea moja ya Jimbo ambalo mpaka Sasa linaongozwa na Mbunge ambaye ni Waziri kwa Sasa na amedumu kwa miaka 25.

Wananchi Jimboni hawamtaki lakini juu huku yeye ni chawa mmoja hatari sana. Mara zote yeye hupita kwa njia ya Rushwa.

Sasa ukilinganisha Uchumi wake wa kuhonga ni mkubwa sana na mbaya zaidi watu huwa wanamuogopa kwahiyo hawawezi kutangaza nia ya kugombea kwasababu wanaamini ni mshirikina yaani mchawi, Mimi Binafsi siamini na ndio maana nimejiamini mwaka huu 2025 nitagombea na yeye ataona kwa macho yake.

Sasa huu mwaka 2025 wadau wanaopenda kuwasaidia Wananchi kwenye Kata na majimbo tufanye mabadiliko kuwepo na sura mpya na mawazo mapya naamini itasaidia kuliko kuwa na mawazo yaleyale miaka 15 mpaka 30 huku tukitarajia kupata Matokeo tofauti.

Wadau tupeane mawazo namna gani ya kuwaangusha hawa vigogo waliozoea kufanya kazi kwa mazoea na kudhani Kata au Jimbo ni Mali ya familia zao?
Kama umeshindwa kumtaja humu yeye na Jimbo lake, basi jua kabisa HUMUWEZI labda aache mwenyewe kugombea.
 
Wajumbe wajumbe wajumbe.. Kama unataka Jimbo kupitia CCM basi jipange na hawa watu.. Wajumbe sio watu wazuri . Wajumbe hawatabiriki..

Walinipa kura 0 japo wapo nilosoma nao.. Nilioishi nao Jirani.. Niliokesha nao nikiwapa K Vqnt pamoja na posho.. Wapo pia niliogharamia usafiri wao nk.. Na bado nikaambulia 0..
 
Back
Top Bottom