Vijana wengi hampendi ualimu


LIKE!
Huo mshahara ulioutaja ni mkubwa,mishahara ya kuanzia kwenye sekta nyingi ni chini ya huo.
 
walimu wa Tanzania.me mara ya kwanza nilikua mbishi nikasoma politica science,huwezi amini nimeanza baed.acha fikra za kukariri mtoto wa mkulima wewe

pole sana, kilichokupeleka huko mwanzoni ni nini? Hukujua kwamba wenzako wanaishia kuwa walimu?
 
Me Nimesoma HGL nijiajiri Vipi,Niji=Nijulishe,Niwezavyo niwe Mwalimu niwe na shughuli za ziada
 
Hawezi kua Mwl mana waziri ana mtaji na sisi maskini hata kama ni Genius mfumo wa ubepari unakumeza,ila nitajiendeleza zaidi Mungu saidia niwe hata Lecturer
 
Narubongo bwana!!! Yaani yeye kuwa ndani ya Chama Cha Mafisadi anahisi kuwa kujiajiri ni suala rahisi kihivyo. Unawashauri vijana wasitegemee kuajiriwa serikalini badala yake wajenge moyo wa kujiajiri. Mbona huwambii wajiajiri wapi na kwa jinsi gani? Je, kwenye KILIMO KWANZA panawezekana? Au wajiajiri kwenye UJASIRIAMALI kama VICOBA na SIDO? Au unawashauri wakajiajiri kwenye DRUGS na TIGO??????
 
napenda jinsi nilivyo mwalimu.Napata nafasi kubwa ya kuchakarika na mambo yangu mengine kujiongezea kipato.
BUMIJA chakarika hapo muce wanaweza kukubakisha mkuu coz baed hailipi nje ya ualimu
 
Da walimu bwana,yaani wanafunzi wote ninaowaona hapa chuo wasome ualimu!? Kumbe nyie mkiwa viongozi nchi itakua jalala!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…