Vijana wengi kwa sasa Tanzania wanajichubua kwasababu ya ubaguzi wa kifamilia na kijamii

Hahahahhaaa yaani ww ndo umekuja kuharibu kabisa jamani! 🀣🀣🀣! Hahahhaa....
Ingekuwa amri yangu wangewekwa ndani wote kina vyeupe wanaongeza bure idadi ya wanaume wakati hatuna kazi nao, kiukweli mwanaume mweupe kwangu naonaga kinyaa nafsi hupoa km nimemwagiwa barafu,

Nashukuru sana nimetoa vitoto vyeusi,
 
Ingekuwa amri yangu wangewekwa ndani wote kina vyeupe wanaongeza bure idadi ya wanaume wakati hatuna kazi nao, kiukweli mwanaume mweupe kwangu naonaga kinyaa nafsi hupoa km nimemwagiwa barafu,

Nashukuru sana nimetoa vitoto vyeusi,
Wewe unapenda weusi unahakika gani hao watoto wako nao wataupenda huo weusi.?
 
Mmmmmmh hapana
 
Ingekuwa amri yangu wangewekwa ndani wote kina vyeupe wanaongeza bure idadi ya wanaume wakati hatuna kazi nao, kiukweli mwanaume mweupe kwangu naonaga kinyaa nafsi hupoa km nimemwagiwa barafu,

Nashukuru sana nimetoa vitoto vyeusi,
Hahahaa ht mm wametoka color yangu brown...khaa
 
Jidanganye, mwanaume mdark ndio mpango mzima. Wanaume weupe mmekikaa kimama mama. Pole lakini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…