Kuhusu kujaza fomu za mikopo ya elimu ya juu mwaka huu inatakiwa kila mwombaji kuwa na kitambulisho cha urai au pass ya kusafiria au kitambulisho cha kupigia kura. Lakini wengi wao hawana vitambulisho hivyo na kwa sasa ni vigumu kuvipata.
Je, wafanyeje? au "National ID card" ni sawa na cheti cha Kuzaliwa?
Naomba ufafanuzi!