kapama shauritanga
Member
- Jul 8, 2014
- 74
- 7
Swala la competetion lipotu wejalibu kama unaqualification .
c kihivyo mkuu,usipende kuongea kwa kujiamini kama huna uhakika na ulisemalo,hiyo guidebook tumeicheki,ninachotaka kujua kama competition ni kubwa au vp
UDSM competition ni kubwa tena sana tu ila hongera sana mkuu yan hilo tokeo linaweza ushindani so usiwaze kabisaaaaa