Vijana zaidi ya 500 wamekutwa wamehifadhiwa sehemu mbalimbali Mkoa wa Kilimanjaro wakifanya mafunzo yasiyojulikana


Ila na bado wapo kibao wazee wa pyramid schemes wakina sudii slaaa wa inclusive
 
Mbona matangazo ya kuwavuta hao vijana yalibandikwa kila kona na huyo mkuu wa mkoa anayaona

Sio huko Kilimanjaro tu hata huko Simiyu nk watu wanapigwa hela sana kwa kudanganywa watoe pesa za kuchukulia fomu za ajira
 
Impact of severe unemployment
 
Walikuwa wanajifunza mbinu za ugaidi.
Ivi huwa mnajua hata tafsiri ya gaidi kweli? Ulishaambiwa wametapeliwa wewe unawaita magaidi?? Embu msome kidogo hiyo sheria ya ugaidi mjue ina nn ndani???
Liserikali lenu limeshindwa kutoa ajira kwa vijana kupitia vile viwanda 4000 vya UONGO mnashinda mitandaoni kusingizia watu ugaidi!!!!
Yaani mtu alilie 200000 ili akawe gaidi????
 
Kumbe siku hizi uhuru wa kutembea na kuishi popote Tanzania bila kuvunja sheria haupo tena au mpaka tuombe ruhusa Polisi? Bila ruhusa tunaitwa wazurulaji? Mhhh hivi tunaviongozi gani Tanzania?
 
Hii nchi inaitwa Danganyika so kinachoendelea ni matapeli waliobarikiwa na baadhi ya viongozi kuwachinjia wahanga wa utapeli baharini.
Kirahisirahisi aliyetapeliwa anatishwa aondoke pasipo kujua haki yake ataipataje???
 
Nimesikia clouds muda si mrefu. Ni kuwa kuna vijana 500 wameenda kilimanjaro ili kupata kazi kwa kampuni fulani. Kufika kumbe kampuni ya kitapeli, wameachwa kwenye mataa.

Wale matapeli wamekamatwa. Sasa mkuu wa mkoa anataka vijana hao waondoke sababu hawana kazi hivyo wanaweza kuwa wahalifu. Vijana wanalalamika kwanini waambiwe waondoke wakati wengine wameanza kupata vibarua hapa na pale.
Sasa hilo suala ni sawa? Ni nani mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro?
 
Mkuu kwanini hukuangalia kwanza undani wa habari hii hapa JF na badala yake ukakurupuka kuanzisha uzi wa kijinga kama huu!
Mods futa hii thread tafadhari!
 
Mkuu kwanini hukuangalia kwanza undani wa habari hii hapa JF na badala yake ukakurupuka kuanzisha uzi wa kijinga kama huu!
Mods futa hii thread tafadhari!
Nimeileta habari kama ilivyotangazwa na Clouds fm. Na mkuu wa mkoa amehojiwa na vijana wanaoambiwa waondoke wamehojiwa.
 
Nimeileta habari kama ilivyotangazwa na Clouds fm. Na mkuu wa mkoa amehojiwa na vijana wanaoambiwa waondoke wamehojiwa.
Mkuu wewe ni muungwana sana! Kumradhi, nilitakiwa nikuelezee kuwa hii habari ipo hapa tangu juzi....vijana hao ni wahanga wa utapeli unaoendelea kwa kasi sasa hivi!
 
Hao ni wale wa Q net and the likes, sijui huwa wanawapa madawa gani, maana wanakuwa kama wamepagawa walifukuzwa eneo moja wakaenda eneo jingine
 
Je,Mbona Hatujaambiwa Katika hao matapeli Kuna mmoja wao amekamatwa Ili akusaidie POLICE ?
 
Hao vijana ni useless wametapeliwa kingese sana.
Wajiangalie ipo siku wataliwa tigo zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…