Vijembe vya kibiashara kati ya Coca Cola na Pepsi

Vijembe vya kibiashara kati ya Coca Cola na Pepsi

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
620
Reaction score
1,240
๐—จ๐—ด๐—ผ๐—บ๐˜ƒ๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ฐ๐—ผ๐—ฐ๐—ฎ ๐—ฐ๐—ผ๐—น๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ฃ๐—ฒ๐—ฝ๐˜€๐—ถ

Moja kati ya tangazo la kitambo liliundwa ili kumdhihaki Coca-cola toka kwa Kampuni ya Pepsi, ni hii tangazo la unywaji wa soda ya pepsi.

Shida ilianza pale Coca cola ๐Ÿฅค alipotangaza hadharani ameuza na kupata faida mara 4 zaidi ya kampuni ya Pepsi mwaka 2001, Pepsi bhana wakajibu kwa style hii๐Ÿ˜;

Kuna video inaonyesha kijana mdogo ananunua makopo mawili ya Coca cola na kuyaweka chini Kisha na kusimama juu ya hayo makopo na kumsaidia kufikia kwenye kitufe Cha kubonyeza ili kuweza kununua Kinywaji Cha Pepsi.


Japo lilikua linaonekana kama la kuchekesha lakini ndiyo dhana iliyotumika kampuni ya Pepsi kurudisha kijembe kwa coca-cola na kuweza kusimama Tena pamoja na kuongeza mauzo kwa Kasi japo lilisababisha mtafaruku.

Ebu tuambie ingekua Tanzania hapo unafikiri nini kingetokea?
 
Huwa napenda kuona makampuni ya nje yanavyopigana vijembe kwenye matangazo ya biashara. Hii ipo sana nje, huko ulaya na malemani. Cocacola na pepsi wamekuwa wakipigana vijembe kwa miaka. Huko ujerumani makampuni ya magari ya BMW, Audi na Mercedez-Benz yanapigana vijembe kila siku kwenye matangazo. Inafanya biashara ichangamke zaidi...
 
1733699290830.png
 
๐—จ๐—ด๐—ผ๐—บ๐˜ƒ๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ฐ๐—ผ๐—ฐ๐—ฎ ๐—ฐ๐—ผ๐—น๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ฃ๐—ฒ๐—ฝ๐˜€๐—ถ


View attachment 3171062

Moja kati ya tangazo la kitambo liliundwa ili kumdhihaki Coca-cola toka kwa Kampuni ya Pepsi, ni hii tangazo la unywaji wa soda ya pepsi.

Shida ilianza pale Coca cola ๐Ÿฅค alipotangaza hadharani ameuza na kupata faida mara 4 zaidi ya kampuni ya Pepsi mwaka 2001, Pepsi bhana wakajibu kwa style hii๐Ÿ˜;

Kuna video inaonyesha kijana mdogo ananunua makopo mawili ya Coca cola na kuyaweka chini Kisha na kusimama juu ya hayo makopo na kumsaidia kufikia kwenye kitufe Cha kubonyeza ili kuweza kununua Kinywaji Cha Pepsi.


View attachment 3171063


Japo lilikua linaonekana kama la kuchekesha lakini ndiyo dhana iliyotumika kampuni ya Pepsi kurudisha kijembe kwa coca-cola na kuweza kusimama Tena pamoja na kuongeza mauzo kwa Kasi japo lilisababisha mtafaruku.

Ebu tuambie ingekua Tanzania hapo unafikiri nini kingetokea ?
Tanzania kuna mbinu nyingi coca walitumia kuangusha magari yenye mzigo wa pepsi, moja liliangushwa kona za Ruaha na jingine mitaa ya Kitonga kama sijakosea
 
Back
Top Bottom