SoC01 Vijiji vya pembeni mwa boda mwa nchi jirani ni fursa kwa mfanyabiashara mdogo/mjasiliamali

SoC01 Vijiji vya pembeni mwa boda mwa nchi jirani ni fursa kwa mfanyabiashara mdogo/mjasiliamali

Stories of Change - 2021 Competition

Ushamba

Member
Joined
Aug 22, 2021
Posts
33
Reaction score
70
Boda za Tanzania ni lango kuu LA uchumi.

KUPATA MANUFAA FANYA YAFUATAYO
1)Angalia vijiji vya pembeni mwa boda nchi za jirani hasa kule mbali na boda lakini inaweza kuwa karibu zaidi na mpaka wa Tanzania.

2)Tumia vitambulisho vya halali kabisa.

3)Angalia vitu wanavyofuata kwenye miji yao ambayo Tanzania pia vipo na bei rahisi vipo wauzie

4)Uza vitu adimu mfano dagaa Nyasa,viatu vya kimasai ambavyo Zambia havipo.

5)Ukifanikiwa sogea wilaya za pembezoni.mfano kupitia kijiji cha Chimpumbu Tanzania waweza Fanya kazi na wilaya ya nakonde.kuliko kukomaa Tunduma kwenye ushindani mkubwa.

6)Jenga utamaduni wa kuwauzia wafanya biashara wadogo kwa Jumla wa nchi jirani.

6)Lipa kodi stahiki eneo husika
 
Upvote 1
Boda za Tanzania ni lango kuu LA uchumi.

KUPATA MANUFAA FANYA YAFUATAYO
1)Angalia vijiji vya pembeni mwa boda nchi za jirani hasa kule mbali na boda lakini inaweza kuwa karibu zaidi na mpaka wa Tanzania.

2)Tumia vitambulisho vya halali kabisa.

3)Angalia vitu wanavyofuata kwenye miji yao ambayo Tanzania pia vipo na bei rahisi vipo wauzie

4)Uza vitu adimu mfano dagaa Nyasa,viatu vya kimasai ambavyo Zambia havipo.

5)Ukifanikiwa sogea wilaya za pembezoni.mfano kupitia kijiji cha Chimpumbu Tanzania waweza Fanya kazi na wilaya ya nakonde.kuliko kukomaa Tunduma kwenye ushindani mkubwa.

6)Jenga utamaduni wa kuwauzia wafanya biashara wadogo kwa Jumla wa nchi jirani.

6)Lipa kodi stahiki eneo husika
Mliopo huko mipakani kuna fursa nyingi nyingi nadhani.??
 
Back
Top Bottom