Wabz,
Watu wengi hawakuelewei, hata kule kwenye suala la Mwinyi na Azimio wewe unauliza role ya mtu mmoja mmoja na si policy.
Umeuliza swali la mantiki na ndilo la kutafakari, je Ujamaa haukufanikiwa au Watu waliokuwa na dhamana ya kkufanikisha na kufanya kazi kufanikisha Ujamaa hawakutimiliza wajibu wao na hivyo kuufanya uonekane haukufanikiwa.
Same tarait you can see now in free market economy tuliyoikimbilia, ni watu watakaosababisha mfumo na sera zishindwe!
I guess kama Nyani Ngabu anavyosema...........tulivyo!
Kweli kaka unachosema na mimi najiweka katika mazingira ya kutokueleweka ili mtu aje na convincing argument kuwa kwa nini ujamaa haukufanikiwa, haishii tu kusema ''ujamaa haukufanikiwa' then what?
Kumbuka kwenye thread ya AD, I mixed my argument ya kuwa Mwinyi anaonewa kabisa kuhusu AD. Hajui lolote kuhusu AD, hivyo huyu mtu hapaswi kuhukumiwa kuhusiana na AD, yeye maadamu aliuleta ubepari, tunampa sababu kwa nini alichokileta kilikuwa na makosa na hakikutufaa. So tunapomwangalia individua naye tutam-evaluate failure yake na success yake individually
Ikija policy tutaiangalia Policy kama ilivyo. Personally I think here JF is a place to learn more than in school! just imagine 'unakuwa na discussion group' ya watanzania wasomi waliko dunia nzima! it is amazing! so I think mtu anapokuja kusema lolote awe tayari kuulizwa lolote ili na sisi wengine tufumbuke macho.
Ndiyo maana nimemuuliza mkuu afafanue;
sijajua atafafanua vipi, I think we might have other reasons angalia kipande hiki;
''In 1960s, the 'decade of development', many third world countriesnations failed to make their entry into the modern world, sliding backwards into trabalism and ethnic conflict.Nwely liberated from colonialism, these eerging countries were said to be 'hollow shells, lacking the insitutional structures which make a nation a viable and effective socio-political and economic enterprise; (Inkeles and Smith 1974)
Inkeles, A. and Smith, D.H (1974) Becoming Modern:Indivual Cahnge in Six Developing Countries, Cambrideg,MA:Havard University Press. Kipande hiki kipo pia kwenye kitabu cha John Hannigan -'Environmental sociology' page number 4)
Ukisoma hizo argument za Inkeles and Smith unaona kabisa Tanzania hatumo HUMO! hatumo katika mataifa ya Afrika ambayo hatukuwa na structure, we had institutional structure, hatukuwa na matatizo ya ukabila n.k. This is my kudos to JKN!
In Short, we were perfect country with perfect system etc.
Sasa nilitaka jamaa anaposema umeshindwa atoe sababu ni nini?
'Hollow shell' hiyo Idiom wana maana tulikuwa taifa lakini hatuna uhai ndani yake! damn! Tanzania was a different case.
so my worries are either;
1. Hatukuusimamia vizuri ujamaa (hii ndiyo kisa cha kumlaumu JKN kwa upole, na kumuopoa Mwinyi kuwa alikuwa hajui chochote!)
2. Either tulichelewa kuuanza? yaani pengine tungepata huru miaka ya 50s na kuanzisha ujamaa?
3. Au JKN aliondoka mapema sana, angetakiwa kubakia mpaka 1990, (demokrasia kwa mtoto anayetambaa haipo!)
4. Je, tuna matatizo ya asili ambapo pamoja na hizi social system still we need to deal with our nature?
5. Je kulikuwa na external reasons kutoka mataifa ya nje (I can certainly believe this! but lacking some concrete points), maana hiyo issue ya 'hollow shell' ina maelezo mengi? they gave us freedom while they knew for sure we can not go further! why wao ndio wliokuwa regulators wa soko la dunia n.k walitubania hapo pia!
Kuna ndugu Kyoma nilimuuliza sababu ya kuwa anafikiri Mwinyi angekabiliana vipi na mashart ya IMF na WB ambayo JKN aliyakataa kupitia ushauri wa Mtei? hajanipa jibu, RUDI point number 3 hapo juu, I believe and strongly convinced kuwa JKN angeendelea na msimamo wake wa kukataa haya mashart leo tungekuwa mbali kimaendeleo why!
Tungeteseka sana, lakini katikaakipindi kile cha kuteseka ndiyo tungejifunza mambo mengi.
1. Kuchagua viongozi bora
2. Innovation
3.Utaifa
4. Elimu inayokabili mazingira
5. Laws and effective system za kusuma maisha yetu ya kila siku
Mwinyi alitukwepesha kutupitisha kwenye hii ''REFORMATION MUHIMU SANA YA TAIFA' ya kuteseka kwanza kuwekana sawa! so issue za kula ugali wa njano was none comparing to the future glory that country we heading to!
Today we need to start are fresh, na ndiyo nika -pose challenge kwa wote waamini wa AD kuto mlaumu yeyote, hakuna atakayewaelewa! kaeni chini, piga buku, fanya modification lets move foward....
The suddenly change of system from Nyerere's to Mwinyi's imeua taifa !
Hatuna nchi leo, sad to write this, we are doing election , but there is none! none at all, mpaka msingi ya taifa hili itikiswe na kuwekewa drip za kulikoa!
Nadhani umenielewa mkuu nawaza nini,
By the way I am learning, mimi ni mhandisi haya mambo na sisi na mbali mbali sana , But I have.....................see my signature.