Atatoka tu, Mungu atamtetea, sisi huku ni watu wa mungu tunapiga goti kuomba na kufunga lakini pia na sisi tumeuza cocoa pesa hapa tunachanga, tuteue watu wawapelekee mawakili huko mjini wanaomtetea kijana wetu, (maneno hayo ya Mama Anangisye)
Baada ya kuyasikiliza hayo binafsi naona tunajenga chuki miongoni mwetu. Tulipofika, na tulipotoka tunahitaji kuvumiliana sana maana hatuna namna. Kama hao wazee wa vijijini watanung'unika hivo sio sawa kabisa.
Baada ya kuyasikiliza hayo binafsi naona tunajenga chuki miongoni mwetu. Tulipofika, na tulipotoka tunahitaji kuvumiliana sana maana hatuna namna. Kama hao wazee wa vijijini watanung'unika hivo sio sawa kabisa.