Mbavu za Mbwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 303
- 154
Du! Kweli hii kauli haifai...Miaka michache iliyopita nilikuwa mwanachama wa magazeti ya JITAMBUE na MSAURI WAKO. Kuna siku nilisoma kisa cha dada mmoja ambaye alieleza kuwa alitaka kujiua kwa kuwa mpenzi wake kamwambia kuwa ana uchi mkubwa sana kiasi kwamba kibamia chake hakifai kitu. Sipati picha maumivu aliyoyapta mdada yule. Jamani, tuwe tunachagua maneno ya kuwaeleza wenzi wetu wawe marafiki, ndugu na hata jamaa zetu. Kauli nyingine, mpaka mwili unasisimka
Ahahahaaah! Ina maana humpendi ila limbwata ndio inafanya kazi!siku demu wangu aliponiambia wakati tunase* et ''MBONA SISIKII UTAMU KAMA ULE WA X-MCHUMBA WANGU'' niliamua kutomt*mb* tena kwa miez 6. Ila kwa sasa bado ninaye shauri ya wedding na limbwata alilonipa.
Tehe tehe teheeeh!!Hakika wakati shemeji yenu aliniambia hajawahi kufika nilipomfikisha cku hiyo...dah! nilijihisi kama waziri mkuu bungeni!!!!!!!:wink2:
Nikikumbuka natamani kuua mtu,nisiulizwe ni kumbukumbu mbaya kwangu
Punguza hasira!!! Alikwambiaa nini?
Me n u wont make it no more......halafu ni leo leo, nilitamani kufa, ndio natoka hospitali sasahv
Siku demu wangu mpendwa aliponiambia 'sijawahi kufikiria kushiba ngono kama nilivyoshiba leo'. Alikula mikupuo mitatu na yote aliinjoi sana 'chakula' na kuridhika. Hiyo ndiyo siku aliyosema hataniacha kamwe na leo hii ndiye mama watoto wangu watatu.