Za muda huu jamani mtoto wangu anasumbuliwa na vijipu, mara ya kwanza lilitokea nikampaka dawa ya majani likatoweka baada ya wiki mbili limetokea tena sehemu nyingi msaada pls
Twanga vitunguu saumu mpake palipo na jipu. Pia jitahidi kumlisha vitunguu saumu vinasafisha mwili. Moja kati ya sababu za majipu ni ishara kuwa mwili una sumu