Dogoli kinyamkela
JF-Expert Member
- Nov 21, 2024
- 618
- 1,440
Vijiti VYA kuwashia moto vinauwezo wa kukufanya ukaacha kuvuta sigara na kunywa pombe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema kwa mapana mchawi ,nikapige hela kijijini huku maana nimechoka kila muda kupokea wagonjwa wa TB wanakohoa Sana na sigara wanavuta .Vijiti VYA kuwashia moto vinauwezo wa kukufanya ukaacha kuvuta sigara na kunywa pombeView attachment 3202265
Dogo kinyamkera.Vijiti VYA kuwashia moto vinauwezo wa kukufanya ukaacha kuvuta sigara na kunywa pombeView attachment 3202265
😂😂😂😂😀Naijua iyooo leta minoti iyo tuigawaneSema kwa mapana mchawi ,nikapige hela kijijini huku maana nimechoka kila muda kupokea wagonjwa wa TB wanakohoa Sana na sigara wanavuta .
Ni muda wa kuwaachusha sigara kwa lazima na hela nile
😂😂😂🤷🏽♂️Dogo kinyamkera.
Unataka kutukera.
Huo ni mti wa Pine, unalimwa sana maeneo ya Nyanda za Juu Kusini (Iringa, Njombe,....)Hivi hii ni miti gani inayowaka utadhani imemwagiwa mafuta ya taa?
Nadhani ni miti ya pine kama sikosei.....inavyowaka inatoa na mafuta kabisaHivi hii ni miti gani inayowaka utadhani imemwagiwa mafuta ya taa?
Nataka unielekeza inavyopiga kazi ili Sasa nianze kuwafokea vibaya hovyo wagonjwa wa TB wanaotumia sigara ili kwa hiyari au kwa Shari wanunue hii dawa kwangu.😂😂😂😂😀Naijua iyooo leta minoti iyo tuigawane
Kivipi?Vijiti VYA kuwashia moto vinauwezo wa kukufanya ukaacha kuvuta sigara na kunywa pombeView attachment 3202265
YeahHivi hii ni miti gani inayowaka utadhani imemwagiwa mafuta ya taa?
Unakula hivyo mijitu ama vipi?Vijiti VYA kuwashia moto vinauwezo wa kukufanya ukaacha kuvuta sigara na kunywa pombeView attachment 3202265
Dogo kinyamkera.
Unataka kutukera
Nan kasema oleweke uko mm sipoMilioni 5 kwa hivyo vijiti mbona ni ghali sana mkuu?
Halafu kuviroweka kwenye maji kisha kunywa juice yake itakua ni kazi ngumu.
AHalafu kuviroweka kwenye maji kisha kunywa juice yake itakua ni kazi ngumu