Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
- Thread starter
-
- #41
Sweet talk anaiweza sana, lakini asituletee Richmond 2.0 kwa kisingizio chochote. Akazane amalize JNHPP kwa muda.Mwacheni waziri wetu awajibike jamani. Nimemuon Leo akifafanua mazuri kuhusu umeme
Kwa madili yale?Wasichojua ni kwamba wanampa Airtime maana ana trend hatari.Anatakiwa tu ku handle vizuri hili suala la umeme vizuri,then mpaka 2025 nchi nzima itakuwa inamuimba.
Huo si ndo ufisadi wenyewe kukiuka sheria ya manunuzi, hakuna udalali ni upigaji tu beanamdogoHaikuwa siri, serikali iliamua kuwa bypass madalali tu.
Kwamfano kwenye SGR wale madalali wamerudi tena, na ndio maana ulisikia mvutano wa tenda ya kipande cha tatu ja nne ya TRC na PPRA.
Mapepari wanazidi kurudi kwenye mirija yao
Kwenda huko weka ushahidi hapa is iishi kww kukariri tuHuo si ndo ufisadi wenyewe kukiuka sheria ya manunuzi, hakuna udalali ni upigaji tu beanamdogo
Mvua zitaanza karibuni hivi , msema kweli atajulikana hapo.
Na nyie na huyo jpm wenu, mtakuwa mna matatizo ya kijinsia si bure!
Cha kugelezea mitihani pale mwalimu nyerere.Cha akina Makamba?
Mungu atawaaibisha. Waje na mbinu nyingine kwa sababu mvua zitanyesha kwenye catchment areas za mito mikubwa yote kuanzia wiki hii ya November hadi January.Mheshimiwa JPM alikuwa na mapungufu mengi lakini jambo moja kwa hakika ni alikuwa hawezi kukaa na dukuduku moyoni. Hata alipowatumbua watu aliwananga hadharani kwanini amewala vichwa.
Wakati anatutangazia kuwa tusahau kuhusu gesi ya Mtwara kwakua tulishapigwa na hivyo basi tujikite kwenye mradi wa kizalendo wa JNHPP alituambia waziwazi. Inawezekana mambo haya yalikuwa SIRI lakini mzee baba alimwaga mchele kwenye kuku wengi
NI wazi kuwa mabepari na mabeberu yaliyokuwa yanatafuta kutupiga kwenye sekta hii ya gesi na mafuta hayakufurahia, kwani wengi walitegemea serikali kupitia TANESCO ndio awe mteja mkubwa wa gesi hiyo ambayo tungeuziwa kwa bei mbaya huku mafisadi yakijipatia % zao.
Lakini ndio hivyo tena, mzee baba hatunaye tena, na sasa wale vijana wa awamu ya nne wamerudi. Huyu Mh. Makamba kaanza kwa vikao lukuki na hao mabepari, kisha tunaanza kutangaziwa upungufu wa maji kwenye mabwawa yetu ambao sio wa kweli. Lengo ni nini hasa?
Wazalendo uchwara fanyeni kazi yenu vizuri, lindeni maslahi ya nchi. Achaneni na mambo ya kijinga ya kukimbizana na CDM, lindeni rasilimali za nchi dhidi ya maadui wa ndani na nje.
Na we kuwa Waziri ipate %p yakoKatika umeme wa upepo na yeye ana % yake. Pesa haijawahi kumuacha MTU salama
Unajua kadri mnavyompiga vita januari ndio mungu anamuinua juuMheshimiwa JPM alikuwa na mapungufu mengi lakini jambo moja kwa hakika ni alikuwa hawezi kukaa na dukuduku moyoni. Hata alipowatumbua watu aliwananga hadharani kwanini amewala vichwa.
Wakati anatutangazia kuwa tusahau kuhusu gesi ya Mtwara kwakua tulishapigwa na hivyo basi tujikite kwenye mradi wa kizalendo wa JNHPP alituambia waziwazi. Inawezekana mambo haya yalikuwa SIRI lakini mzee baba alimwaga mchele kwenye kuku wengi
NI wazi kuwa mabepari na mabeberu yaliyokuwa yanatafuta kutupiga kwenye sekta hii ya gesi na mafuta hayakufurahia, kwani wengi walitegemea serikali kupitia TANESCO ndio awe mteja mkubwa wa gesi hiyo ambayo tungeuziwa kwa bei mbaya huku mafisadi yakijipatia % zao.
Lakini ndio hivyo tena, mzee baba hatunaye tena, na sasa wale vijana wa awamu ya nne wamerudi. Huyu Mh. Makamba kaanza kwa vikao lukuki na hao mabepari, kisha tunaanza kutangaziwa upungufu wa maji kwenye mabwawa yetu ambao sio wa kweli. Lengo ni nini hasa?
Wazalendo uchwara fanyeni kazi yenu vizuri, lindeni maslahi ya nchi. Achaneni na mambo ya kijinga ya kukimbizana na CDM, lindeni rasilimali za nchi dhidi ya maadui wa ndani na nje.