Vikao maofisini viwe kwaajili ya mameneja, sio kwa wanaotakiwa kufanya kazi

Vikao maofisini viwe kwaajili ya mameneja, sio kwa wanaotakiwa kufanya kazi

Akotia

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2016
Posts
528
Reaction score
1,241
Vikao vya mara Kwa mara ofisini vinaboa na mara nyingi hivyo vikao ni useless na vinapenda kuzungumzia kazi zinazotakiwa kufanyika badala ya kufanya hizo kazi.

Tunapoteza muda mwingi kufanya vikao unategemea kazi zangu nitafanya saa ngapi?

Najua managers wameajiriwa ili kuongeaongea lakini tupeni muda basi sisi wafanyaji kazi tufanye kazi zetu sio Kila muda kuitisha meetings ili mjione na nyie mna kazi ya kufanya.
 
But if you don't have the meetings, what would management do?😂😂
 
Vikao ni vingi mpaka vinachosha aisee hata wasio husika na vikao nao wanakuwepo. Tena Unaweza ukasemwa mbele ya dada wa usafi.

Wanataka tuzungumzie kazi tu, tukitaka kuzungumzia maslahi ya wafanyakazi hawataki wanasema hiyo sio Agenda ya kikao, tutafute muda siku nyingine tuzungumzie hilo, ndo inakuwa limekwisha hilo.

Usiombe Boss awe na demu wake ofisini, kwenye vikao full kujitutumua, tunabaki tunamchora tu.
 
Vikao vya mara Kwa mara ofisini vinaboa,na mara nyingi hivo vikao ni useless na vinapenda kuzungumzia kazi zinazotakiwa kufanyika badala ya kufanya hizo kazi...
Kuna mjinga mmoja nae ndio ilikuwa zake yaani kwa week mnaweza kuwa na vikao sita na vyote vinachukua sio chini ya 3 hrs...iseee kuna siku kwenye kikao nilimchana maana hakuna kipya ni marejeo kkila siku yaleyale.

Na kibarua changu kikaishia hapo.

Mimi sipendi kupotezea muda.
 
Vikao ni vingi mpaka vinachosha aisee hata wasio husika na vikao nao wanakuwepo. Tena Unaweza ukasemwa mbele ya dada wa usafi...
Sisi tusiohusika kwanini mamanager hawatuachi, usipohudhuria msala japo huna umuhimu wowote
 
Vikao vya mara Kwa mara ofisini vinaboa na mara nyingi hivyo vikao ni useless na vinapenda kuzungumzia kazi zinazotakiwa kufanyika badala ya kufanya hizo kazi. Tunapoteza muda mwingi kufanya vikao unategemea kazi zangu nitafanya saa ngapi...
Uko sahihi.
 
Vikao ni vingi mpaka vinachosha aisee hata wasio husika na vikao nao wanakuwepo. Tena Unaweza ukasemwa mbele ya dada wa usafi.

Wanataka tuzungumzie kazi tu, tukitaka kuzungumzia maslahi ya wafanyakazi hawataki wanasema hiyo sio Agenda ya kikao, tutafute muda siku nyingine tuzungumzie hilo, ndo inakuwa limekwisha hilo.

Usiombe Boss awe na demu wake ofisini, kwenye vikao full kujitutumua, tunabaki tunamchora tu.
Hahahah Tena wakiwa demu mapenzi na drama zao hazijifichi 😂😂
 
Back
Top Bottom