Vikao vya JPM nje ya nchi VS Uhuru Kenyata

Usitupangie cha kufanya kwa Rais wetu. Mbona mfalme wenu ana macho mekundu ila hujataka awe kama wetu.

Fuata mambo ya nchi yako sisi ni wabongo tunatumia akili sana japo muda mwingi tunakuwa kama vile hatuna akili.

Mafi ya kuku.
 
Our Dick is bigger than your Dick kind of threads
 
Sasa apo kenyata kaingiaje na nyie mnamihemko ya kike.sorry nipo ktk mfungo mtukufu,ila jamaa angu apo thread yako naipa1/100 iyo moja ya picha tu
 
😁😁😁😁 Kenyatta yupo anazindua maparachichi Mauritius
 
Acha kushindanisha Wanaume wewe, hiyo ni tabia ya mademu, kwa hiyo ulitakaje
sasa kwamba Magufuli agombane na Uhuru au unamtisha Magufuli kwamba asipojitahidi kukuhudumia utaenda kwa Uhuru? Sikuelewi kabisa yani!
 
Hao Fijians wenyewe watanzania kwa asili...
Naona Leo Kenya mnafurahii kualika DNA ya bongo hahaha
 
SAA mtaringia nn hahahaha hao mlowakaribisha hujui ni watanzania hahahahah...
Nchi ya Fiji watu wake walitoka Tanzania hata sura zao na tamadun ziangalie ni za bongo
Ni Wasukuma...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…