C.E.O wa Yanga ni nani kati ya hawa? GENTAMYCINE au ni yule OKW BOBAN SUNZU ? Maana wote wana tusifa na tuvigezoKuna vihoja vinasambaa mitandaoni vya kuonesha kuwa credibility ya CEO mpya wa Yanga ipo questionable. Watu wanasahau kuwa ni vyombo vya sheria pekee ndiyo vyenye jukumu la kuthibitisha hilo. Na ktk hilo hatujasikia taarifa ya kesi yoyote ambayo huyo bwana alikutwa na hatia. Hana hatia.
Pia, tukumbuke kuna watu waliwahi kufungwa jela kwa vituhuma kama hivyo lkn wakaja kuwa viongozi wa klabu kubwa na wakapata hadi ubunge.
Tuelewe vizuri ma tusikurupuke
Hawa watoto wa juzi wataelewaje hayoKuna vihoja vinasambaa mitandaoni vya kuonesha kuwa credibility ya CEO mpya wa Yanga ipo questionable. Watu wanasahau kuwa ni vyombo vya sheria pekee ndiyo vyenye jukumu la kuthibitisha hilo. Na ktk hilo hatujasikia taarifa ya kesi yoyote ambayo huyo bwana alikutwa na hatia. Hana hatia.
Pia, tukumbuke kuna watu waliwahi kufungwa jela kwa vituhuma kama hivyo lkn wakaja kuwa viongozi wa klabu kubwa na wakapata hadi ubunge.
Tuelewe vizuri ma tusikurupuke
HahahahaaqC.E.O wa Yanga ni nani kati ya hawa? GENTAMYCINE au ni yule OKW BOBAN SUNZU ? Maana wote wana tusifa na tuvigezo
HawaelewiHawa watoto wa juzi wataelewaje hayo
Unaskia!!!!Mmeisha anza utetezi si nasikia ni mla rushwa sana yule jamaa
Eti CEO ni panya road wa Zambia.....KwikwikwikwikwiNYIE KUMBE CEO MPYA WA YANGA NI PANYA ROAD WA ZAMBIA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Thibitisha. Mahakama ilishamsafishaNi mwizi na ushahidi upo.kha!
ndo mmekuja na hii[emoji115]ya kubumba ili kumlinda panya road,mnataka kuficha muhalifu eti?Thibitisha. Mahakama ilishamsafishaView attachment 2369657
Panya road ni aliyenyea debe kwa kesi ya wiki na mkamchagua kuwa kiongozindo mmekuja na hii[emoji115]ya kubumba ili kumlinda panya road,mnataka kuficha muhalifu eti?
Unasikia kwa nani? Halafu mkiitwa mbumbumbu mnakasirika!! Muwe mnajioneza bhana!Mmeisha anza utetezi si nasikia ni mla rushwa sana yule jamaa
Andamaneni basi mpaka kwa Mudi ili awape fedha kidogo za kwenda kumshtaki mahakamani huko kwao Zambia.Ni mwizi na ushahidi upo.kha!
Kutuhumiwa pekee tena zaidi ya maramoja tayari ni tatizoKuna vihoja vinasambaa mitandaoni vya kuonesha kuwa credibility ya CEO mpya wa Yanga ipo questionable.
Watu wanasahau kuwa ni vyombo vya sheria pekee ndiyo vyenye jukumu la kuthibitisha hilo. Na ktk hilo hatujasikia taarifa ya kesi yoyote ambayo huyo bwana alikutwa na hatia. Hana hatia.
Pia, tukumbuke kuna watu waliwahi kufungwa jela kwa vituhuma kama hivyo lkn wakaja kuwa viongozi wa klabu kubwa na wakapata hadi ubunge.
Tuelewe vizuri ma tusikurupuke