Rebo Tz
Senior Member
- Sep 26, 2016
- 169
- 125
Wadau mimi naomba nigusie kidogo juu ya swala hili la vikoba..,black...,michezo kwa baadhi ya wanawake wasiojitambua...
Mtoto wa kike utakuta anaenda kukopa black bila kumwambia mmewe huku akifanya jambo la kijinga kupitia zile pesa alzokopa akishindwa kulipa watu wanakuja beba vitu ndani na kubaki na povu mdomon huku kuplekea kuachwa....
Pia utakuta mtoto wa kike anacheza mchezo kwa siri,angalia ndani sasa mume anaacha pesa ya kununulia njegele na visamaki utakuta inapigwa panga na pesa inapelekwa mchezon...
Alafu akipokea hata matumizi ya maana hakuna ndani ya nyumba..badilikeni jaman na mtengeneze mfumo mzur wa kutafuta pesa....
Mtoto wa kike utakuta anaenda kukopa black bila kumwambia mmewe huku akifanya jambo la kijinga kupitia zile pesa alzokopa akishindwa kulipa watu wanakuja beba vitu ndani na kubaki na povu mdomon huku kuplekea kuachwa....
Pia utakuta mtoto wa kike anacheza mchezo kwa siri,angalia ndani sasa mume anaacha pesa ya kununulia njegele na visamaki utakuta inapigwa panga na pesa inapelekwa mchezon...
Alafu akipokea hata matumizi ya maana hakuna ndani ya nyumba..badilikeni jaman na mtengeneze mfumo mzur wa kutafuta pesa....