Ukwelinasema
JF-Expert Member
- Feb 10, 2021
- 454
- 542
Mtakuja kutapeliana nyieHusika na kichwa cha habari hapo juu,wakuu naomba kuwasilisha kwenu kwanini inachukuliwa tofauti na jamii hasa wanaume kwa mwanamke anaecheza/kujihusisha na vikoba?? Ikiwa pesa inayopatikana wengi wameifungilia miradi/kuifanyia vitu vya maendeleo kwaajili ya familia husika!!
Kati ya wacheza vikoba au utapeli huo anaufanya nani??Mtakuja kutapeliana nyie
Weka swali lako vizuri ,sijaelewa swali lako ni nini au logic ya mada.Husika na kichwa cha habari hapo juu,wakuu naomba kuwasilisha kwenu kwanini inachukuliwa tofauti na jamii hasa wanaume kwa mwanamke anaecheza/kujihusisha na vikoba?? Ikiwa pesa inayopatikana wengi wameifungilia miradi/kuifanyia vitu vya maendeleo kwaajili ya familia husika!!
Kwanini wanaume wengi wanakua against wanawake wanaocheza vikoba regardless faida zinazopatikana kwenye hivyo vikobaWeka swali lako vizuri ,sijaelewa swali lako ni nini au logic ya mada.
Tatzo hao wake za watu tinawachapa sana kwa sababu ya haya marejesho ya vikoba , elfu 20, 30 , 40
Tinawachapa mno
Sasa waume zao wamestuka ..
Alafu nanyie mlooaz jiulizen, mwanamke humpi pesa ya kuchezea, lkn mwenzio kila wiki anapeleka elfu 20,30,40,50,hadi laki
Anazipata wapi
Bwegee unakaa kaa kizembe mpaka December wakivunja vikoba vyao ,nawee unapewa mgao ,unacheeeeeka
Sisemi kwamba ni haramu kwa mwanamke kucheza vikoba au kulimbikiza mali
Nachosema ni haramu, nipale mwanamke ambaye ni mama wa nyumban, huenda anapewa pesa lkn anaibana, anaaamua kumsumbua mtu kama Zero IQ ampe hela
Kwann asichakatwe??
Au nasema uongo ndugu
Kuna ubaya kama mwanaume atahusika kwenye hayo marejesho na si kumwachia mkewe pekeeTatzo hao wake za watu tinawachapa sana kwa sababu ya haya marejesho ya vikoba , elfu 20, 30 , 40
Tinawachapa mno
Sasa waume zao wamestuka ..
Alafu nanyie mlooaz jiulizen, mwanamke humpi pesa ya kuchezea, lkn mwenzio kila wiki anapeleka elfu 20,30,40,50,hadi laki
Anazipata wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bwegee unakaa kaa kizembe mpaka December wakivunja vikoba vyao ,nawee unapewa mgao ,unacheeeeeka[emoji23]
Sisemi kwamba ni haramu kwa mwanamke kucheza vikoba au kulimbikiza mali
Nachosema ni haramu, nipale mwanamke ambaye ni mama wa nyumban, huenda anapewa pesa lkn anaibana, anaaamua kumsumbua mtu kama Zero IQ ampe hela
Kwann asichakatwe??
Au nasema uongo ndugu zangu
Afu wewe....Tukiachana na vicoba nimependa sana miguu yako... Hakika uu mremboo mamiiii
Sababu zipo nyingi, na kila mtu anayo sababu ya kumfanya apendezwe au asipendezwe mkewe akiwa na vikundi vya namna hiyo. Kubwa kwa wanaume (baadhi) ni ile financial freedom anayoitafuta mwanamke, imagine mwisho wa mwaka mke anavunja vikoba na 20mil inaingizwa kwenye account, huku kidume kina 100k, ada zinamsubiri, kodi nk.Kwanini wanaume wengi wanakua against wanawake wanaocheza vikoba regardless faida zinazopatikana kwenye hivyo vikoba
Kama maendeleo yanarudi kwenye familia kwanini mwanaume awe insecuredSababu zipo nyingi, na kila mtu anayo sababu ya kumfanya apendezwe au asipendezwe mkewe akiwa na vikundi vya namna hiyo. Kubwa kwa wanaume (baadhi) ni ile financial freedom anayoitafuta mwanamke, imagine mwisho wa mwaka mke anavunja vikoba na 20mil inaingizwa kwenye account, huku kidume kina 100k, ada zinamsubiri, kodi nk.
Kwasababu fedha za wanawake za kwenye vikoba hazifaidishi familia(mme),fedha za vikoba wanatumia wao kununua mawigi na nguo tu ila hata chumvi ndani fedha za vikoba hazinunui hivyo mme anaona kama hakuna tija yeyote.Kwanini wanaume wengi wanakua against wanawake wanaocheza vikoba regardless faida zinazopatikana kwenye hivyo vikoba
Ila wakiungana mke na mume inaweza leta maendeleo ndani ya nyumba(naongelea kwa mke anaejitambua)Kwasababu fedha za wanawake za kwenye vikoba hazifaidishi familia(mme),fedha za vikoba wanatumia wao kununua mawigi na nguo tu ila hata chumvi ndani fedha za vikoba hazinunui hivyo mme anaona kama hakuna tija yeyote.
Kwamba hawachezi auVikoba na mwanaume wapi na wapi
Jiiteni viwallet
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lolTatzo hao wake za watu tinawachapa sana kwa sababu ya haya marejesho ya vikoba , elfu 20, 30 , 40
Tinawachapa mno
Sasa waume zao wamestuka ..
Alafu nanyie mlooaz jiulizen, mwanamke humpi pesa ya kuchezea, lkn mwenzio kila wiki anapeleka elfu 20,30,40,50,hadi laki
Anazipata wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bwegee unakaa kaa kizembe mpaka December wakivunja vikoba vyao ,nawee unapewa mgao ,unacheeeeeka[emoji23]
Sisemi kwamba ni haramu kwa mwanamke kucheza vikoba au kulimbikiza mali
Nachosema ni haramu, nipale mwanamke ambaye ni mama wa nyumban, huenda anapewa pesa lkn anaibana, anaaamua kumsumbua mtu kama Zero IQ ampe hela
Kwann asichakatwe??
Au nasema uongo ndugu zangu
Kikoba cha online? Au mie ndo sijui [emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo ni pale pesa mume aloacha ya matumizi familia ile vizuri mama anajibana anapika vyakula ili mradi tu chenji zibaki apeleke huko.
Ila ni vizuri kukiwa na uaminifu ni njia ya kutunza pesa na baadaye kuwa mitaji ya biashara nk.
nakumbuka nilishajoin kimoja hivi kilikua online tunafahamiana ila tupo mikoa tofauti tofauti, pesa mnatuma yule mtunza hazina hakua mwaminifu afu anakua mkali mkiwa mnapiga hesabu na kubisha kwamba kiasi kilichopo siyo hicho ni hiki dah. Pia kuna member akakopa pesa mnamkumbusha kulipa riba anakaa kimya simu hapokei wala sms hajibu na yupo Bukoba huko dah hata kumfata haiwezekani,Tulivovunja sijajoin tena[emoji3][emoji3]
Umesema vyema ila ninewaza tu kama mwanaume akishirikishwa na vitu vikafanyika kiuwazi maendeleo kwenye nyumba siyaongezekaTatizo ni pale pesa mume aloacha ya matumizi familia ile vizuri mama anajibana anapika vyakula ili mradi tu chenji zibaki apeleke huko.
Ila ni vizuri kukiwa na uaminifu ni njia ya kutunza pesa na baadaye kuwa mitaji ya biashara nk.
nakumbuka nilishajoin kimoja hivi kilikua online tunafahamiana ila tupo mikoa tofauti tofauti, pesa mnatuma yule mtunza hazina hakua mwaminifu afu anakua mkali mkiwa mnapiga hesabu na kubisha kwamba kiasi kilichopo siyo hicho ni hiki dah. Pia kuna member akakopa pesa mnamkumbusha kulipa riba anakaa kimya simu hapokei wala sms hajibu na yupo Bukoba huko dah hata kumfata haiwezekani,Tulivovunja sijajoin tena😀😀