Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Mambo yasiwe mengi, na mengi yasiwe mambo.
Carlos The Jackal nasemaje, wewe kama una mke yaani umeoa, halafu unajua kabisa mkeo kazi yake ya kawaida tu, nasio kwamba wee mwanaume una pesa kivile halafu ana Jihusisha sijui na vikundi yaaan ana vikundi/vikoba/Visheti vingiiiii ila Hela yake haimtoshelezi yaan ana takiwa kila wiki apeleke kwa ujumla laki tatu.
JUA KWAMBA, ANALIWA ILI APATE PESA YA VIKOBA. Mkisema hayanihusu poa tu, nmemaliza ila nmeandika kwa uzoefu naoendelea kuuona.
Carlos The Jackal nasemaje, wewe kama una mke yaani umeoa, halafu unajua kabisa mkeo kazi yake ya kawaida tu, nasio kwamba wee mwanaume una pesa kivile halafu ana Jihusisha sijui na vikundi yaaan ana vikundi/vikoba/Visheti vingiiiii ila Hela yake haimtoshelezi yaan ana takiwa kila wiki apeleke kwa ujumla laki tatu.
JUA KWAMBA, ANALIWA ILI APATE PESA YA VIKOBA. Mkisema hayanihusu poa tu, nmemaliza ila nmeandika kwa uzoefu naoendelea kuuona.