Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Kifuatacho ITV inakuwa ni "Adam ingiza taratibu" kwa sauti ya mkopajiAdamu nina shida ya dharula nisaidie elf 30 ya kikoba! Leo jion natakiwa kuwasilisha.
Samahani nisaidie.
Unabaki unajiuliza huyu si mke wa mtu huyu! Kwa hiyo mumeo na yeye wamekosa elf 30.
Unawazaa unasema hakuna cha bure...
Mama Neema sina salio mpesa kwa sasa, kama una nafasi njoo hapa kwangu uchukue or Mama Neema sipo home nimetoka outing kidogo kurefresh akili, ukipata nafasi Njoo Maduhu Lodge uchukue
KwakweliKikubwa uhai tu
Daa kiunyonge sanaaaKikubwa uhai tu
Ahaaa Mungu anakuona.sauti ya mkopaji ikoje??Kifuatacho ITV inakuwa ni "Adam ingiza taratibu" kwa sauti ya mkopaji
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi tu tutafanyaje maana ndio wake zetu hawa.Kifuatacho ITV inakuwa ni "Adam ingiza taratibu" kwa sauti ya mkopaji
Adamu nina shida ya dharula nisaidie elf 30 ya kikoba! Leo jion natakiwa kuwasilisha.
Samahani nisaidie.
Unabaki unajiuliza huyu si mke wa mtu huyu! Kwa hiyo mumeo na yeye wamekosa elf 30.
Unawazaa unasema hakuna cha bure...
Mama Neema sina salio mpesa kwa sasa, kama una nafasi njoo hapa kwangu uchukue or Mama Neema sipo home nimetoka outing kidogo kurefresh akili, ukipata nafasi Njoo Maduhu Lodge uchukue
Dooh!Kifuatacho ITV inakuwa ni "Adam ingiza taratibu" kwa sauti ya mkopaji
Kabla ya kuwa na uzoefu nilikuwa naonaga kushauri mwanandoa Jambo rahisi sana.ni ngumuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi tu tutafanyaje maana ndio wake zetu hawa.
Mwaka fulan, Mjomba wangu alimfumania mkewe ndani kabisa kitandan kwake
Kilichotokea[emoji23][emoji23][emoji23]
Aliishia kupiga Risasi mbwa wake woteeee [emoji23][emoji23][emoji23]
Saizi wanakula bata na mkewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hatuchezi michezo kwa ajili ya njaa bossNjaa haifugi mwali sembuse mke..
Mbona wanaume wanadanga kuliko chochote siku hiziSure kabisa naabiwa chochote ntakupa nikopeshe nikisema tuu njoo fastaa yaanii haya maishaa
Uwe na adabu kwa wanaume.Mbona wanaume wanadanga kuliko chochote siku hizi
Wanaume hadangiiMbona wanaume wanadanga kuliko chochote siku hizi
Ni moto tu!Kifuatacho ITV inakuwa ni "Adam ingiza taratibu" kwa sauti ya mkopaji