Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Hawa watu wanakuwaga na sifa sana kwenye maadhimisho ya siku ya Uhuru, huwa wanatuonesha umahiri na ukakamavu wao, cha ajabu yanapo tokea majanga huwa hawaishiwi visingizio.
Halafu kuna kipindi huwa wanateketeza mali za Umma kuandaa mazoezi ya utayari, yaani wanaandaa ajali feki ya ndege au moto feki kisha wanafika fasta eneo la tukio na kufanya uokoaji.
Kimbembe ni pale yanapokuja matukio halolisi wanakuwa wapole utadhani wameambiwa wapande juu ya nguzo ya umeme huku wamevaa msuli.
Halafu kuna kipindi huwa wanateketeza mali za Umma kuandaa mazoezi ya utayari, yaani wanaandaa ajali feki ya ndege au moto feki kisha wanafika fasta eneo la tukio na kufanya uokoaji.
Kimbembe ni pale yanapokuja matukio halolisi wanakuwa wapole utadhani wameambiwa wapande juu ya nguzo ya umeme huku wamevaa msuli.