Viktor Orban wa Hungary kama Membe wa ACT

Viktor Orban wa Hungary kama Membe wa ACT

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Huyu waziri mkuu wa Hungary ananikumbusha Bernard Membe alivyojiunga ACT akafanywa mgombea urais halafu akawa hafanyi kampeni anapiga ruti za Dubai tu na akagoma kujiuzulu pale chama chake walipoamua kumuunga Lissu mkono kama mgombea wao.

Viktor Orban yeye anawatukana viongozi wenzake wa EU na kuushambulia Umoja wa Ulaya(EU) kila siku ila hataki kujitoa kabisa kutoka EU! Dunia imechanganyikwa sana.
Screenshot_20250209-221758_X.jpg

20250209_221817.jpg
 
Back
Top Bottom