D donga JF-Expert Member Joined Sep 13, 2017 Posts 2,555 Reaction score 5,202 Dec 6, 2018 #1 kumekua na ongezeko sana la kinadada kuvaa vikuku mguuni kama leo nimeenda kunyoa saloo X katika mkoa wa iringa nikakuta mdada kavaa skert zakubana zile wanazovaa hasa wanavyuo hajavaa kufuri halaf kavaa kikuku mguu wa kushoto
kumekua na ongezeko sana la kinadada kuvaa vikuku mguuni kama leo nimeenda kunyoa saloo X katika mkoa wa iringa nikakuta mdada kavaa skert zakubana zile wanazovaa hasa wanavyuo hajavaa kufuri halaf kavaa kikuku mguu wa kushoto
mshipa JF-Expert Member Joined Jun 16, 2015 Posts 12,253 Reaction score 22,843 Dec 6, 2018 #2 Weka kwanza picha ya hizo kuku
chizcom JF-Expert Member Joined Jul 31, 2016 Posts 8,680 Reaction score 18,035 Dec 6, 2018 #3 fasheni hiyo.kama wewe unaye vaa nguo za kuchanika tukajua ni kichaa