Vikundi 111 vyanufaika mkopo wa asilimia 10 wenye thamani ya Shilingi milioni 362

Vikundi 111 vyanufaika mkopo wa asilimia 10 wenye thamani ya Shilingi milioni 362

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Vikundi 111 vya akina mama, vijana, na wenye ulemavu katika Halmashauri ya Sengerema, mkoa wa Mwanza, vimenufaika na mkopo wa asilimia 10 kutoka kwa Halmashauri hiyo.

Mkuu wa Wilaya ya Sengerema, Senyi Ngaga, akikabidhi hundi ya Shilingi milioni 362 katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani leo, amewataka wanufaika wa mikopo hiyo kuitumia kwa uangalifu ili kujikwamua na wimbi la umaskini.

Ameeleza kuwa Serikali ya Awamu ya Sita imeweka mpango mzuri wa mikopo hii ili kuleta maendeleo kwa wananchi.
1741245708485.png
 
Ni pesa ndogo kwa vikundi 111 ni kama 3ml🤔.Nirudi kwa wahenga asiyeshukuru kwa kidogo hata akipewa kikubwa hawezi kushukuru. Wakafika mbali na kusema ndo ndo ndoo si chururu😁😁 Mi5 tena Halimashauri
 
Vikundi 111 vya akina mama, vijana, na wenye ulemavu katika Halmashauri ya Sengerema, mkoa wa Mwanza, vimenufaika na mkopo wa asilimia 10 kutoka kwa Halmashauri hiyo.

Mkuu wa Wilaya ya Sengerema, Senyi Ngaga, akikabidhi hundi ya Shilingi milioni 362 katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani leo, amewataka wanufaika wa mikopo hiyo kuitumia kwa uangalifu ili kujikwamua na wimbi la umaskini.

Ameeleza kuwa Serikali ya Awamu ya Sita imeweka mpango mzuri wa mikopo hii ili kuleta maendeleo kwa wananchi. View attachment 3260930
Mwezi ujayo tutaanza kusikia haya!
 

Attachments

  • IMG-20250305-WA0036.jpg
    IMG-20250305-WA0036.jpg
    144.2 KB · Views: 2
Back
Top Bottom