vikundi vya kigaidi Tanzania.

kunyala

Member
Joined
Apr 11, 2013
Posts
76
Reaction score
18
Haya yalio tokea kenya yawe fundisho kwetu Tz kwani hao wasomali wao ndio walio wakaribisha.Sasa kwa upande wa Tz vikundi hivi vipo ila vinaonekana bado malengo yao yanatatofautiana.wanaomwagia watu tindikali,walio lipua kanisa.walio lipua bomu kwenye mkutano Arusha.wanaoteka magari ya abiria mikoa ya magharibi Na wabaya zaidi ni hawa wanaofanya maandamano ijumaa na mazoezi misikitini.Serikali ichukue hatua.
 
mimi napata mashaka kama kweli Serikali imeshindwa kuwakamata wanaofanya ujinga huo! ni ngumu kuamini hivyo vinginevyo vitendo hivyo vina mkono wa baadhi ya wakubwa Serikalini!
 
mimi napata mashaka kama kweli Serikali imeshindwa kuwakamata wanaofanya ujinga huo! ni ngumu kuamini hivyo vinginevyo vitendo hivyo vina mkono wa baadhi ya wakubwa Serikalini!

Kuna mmoja anaitwa ILUNGA serikali inamlea atakuja sababisha maafa kwa taifa
 
mimi napata mashaka kama kweli Serikali imeshindwa kuwakamata wanaofanya ujinga huo! ni ngumu kuamini hivyo vinginevyo vitendo hivyo vina mkono wa baadhi ya wakubwa Serikalini!

Hivi unamkamata vipi Polisi?
 
Wakuu kausemi haka PREVENTION is BETTER thn CURING.... Tunaomba na ni haki yetu wahusika wa Idara maalum waanze kufungua mafaili na ma jarada ya vikundi au hata walowahi tuhumiwa... ili wapate weledi mwafaka katika ujuzi na kukesha nao usiku na mchana 24/7. wakati huu mgumu "ukidharau mwiba utakuchoma"
 
AL SHABAB HAS CELLS IN TANZANIA although the government for reasons best known to themselves are turning a blind eye to their existanse!!!It will be too late when you wake up and the damage is done!
 

Nyie si mmeungana na CUF, wenzenu ndio wanaofanya mazoezi na kanzu fupiii na visuruali vifupiii na madevu ya kutosha tu! Wanakimbia hao! Haya tungoje muungano huu wa midevu na Misalaba tutajua mwisho wake tu!
 
Kuna Usalama wa Taifa na serikali wanaona hii ni sawa? Kazi ipo
 

Ukifatilia vizuri al-shabaab walianza kama docta ponda. kwenye serikali dhaifu kama ya sisiemu, wakapata sapoti ya mataifa mengine ya kiislamu, baadae wakapata sapoti ya alkaida na kufikia hapa walipofikia. leo nchini kwao hakukaliki hadi huku bongo wapo kibao wanatafuta usalama. Njia za kuzuia sio kutumia nguvu za dora bali ni kuitoa madarakani serikali isiyosikiliza madai ya msingi na kupuuzia yale yasiyokuwa ya msingi ya wananchi waliowaweka madarakani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…