Wadau ningependa kujua kuhusu malengo hasa ya hivi vikundi vya kigaidi. Vikundi vingi mfano Boko haram, ISIS na Alshabab vinadai kuwa lengolao kuu ni jihad na kusimamisha dola ya kiislamu.
Hata hivyo kuna mambo mengi ambayo huwa najiuliza kuhusu malengo haya. Kwa wanaojua maana halisi ya jihad wanapingana na makundi hayo kuwa jihad haipiganwi kwa namna hiyo na lengo hasa la jihad ni imani na sio siasa.
Vitu kama ubakaji, kuteka wanafunzi wa kike, kuuwa watu kwa kukata vichwa na kuchoma moto watu wakiwa hai au kujilipua maeneo kama sokoni n.k ni baadhi tu ya mambo yanayofanywa.
Labda ningependa kupata ufafanuzi kama hii ndo jihad inayotajwa kwenye kitabu? Je Mungu anaruhusu matendo hayo? Nini maana ya jihad? Karibuni mawazo.
Hata hivyo kuna mambo mengi ambayo huwa najiuliza kuhusu malengo haya. Kwa wanaojua maana halisi ya jihad wanapingana na makundi hayo kuwa jihad haipiganwi kwa namna hiyo na lengo hasa la jihad ni imani na sio siasa.
Vitu kama ubakaji, kuteka wanafunzi wa kike, kuuwa watu kwa kukata vichwa na kuchoma moto watu wakiwa hai au kujilipua maeneo kama sokoni n.k ni baadhi tu ya mambo yanayofanywa.
Labda ningependa kupata ufafanuzi kama hii ndo jihad inayotajwa kwenye kitabu? Je Mungu anaruhusu matendo hayo? Nini maana ya jihad? Karibuni mawazo.