Vikwazo atakavyokumbana navyo Samatta kabla ya kujiunga Aston Villa

Hii hoja ingekuwa na nguvu sana kama Tanzania ingekuwa miongoni mwa zile blacklisted countries! Unajua duniani kuna ma-nchi kama North Korea, Cambodia, Iraq and the like, automatically hizo nchi kupata visa na work permit kwa nchi za magharibi ni issue. Uzuri wa hizo 1-70 ni kwamba there's little or no longo longo at all kwa raia wa nchi husika kuingia kwenye host countries. Akina sie, longo longo zipo lakini hatupo blacklisted. Na longo longo zinakuwa kubwa zaidi kama hueleweki eleweki unaenda kufanya nini lakini sio kwa mtu kama Samatta. Kwa Samatta ingekuwa yupo kwenye danger zone endapo yeye mwenyewe angekuwa na personal issues zinazopingwa na western countries kama vile child abuse na domestic violence.

Unless kuwe na tatizo kwenye issue za vipimo, lakini uhakika wa work permit ni mkubwa.
 

Mkuu kuchezea timu kubwa ni mpaka upate hiyo nafasi na hii kuanza na timu ambazo sio top ni vizuri zaidi
Wapo wachezaji wengi walichezea timu kubwa na baadae kurudi timu zao kama Zaha
Mwisho unaamua kukaa tu kwenye timu yako mpaka unaacha mpira kama kina Giggs



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Mkuu nakubaliana na wewe ila shida yangu ni kwamba samatta anakwenda kwenye timu ambayo ipo hatarini kushuka daraja,hatari ni kwamba ikishuka itakuwa ni hatari kwake.Genk alikuwa na nafasi ya kucheza tena UEFA msimu ujao
 
Kikubwa katimiza ndoto yake ya kucheza EPL.

Imagine mtu wa Mbagala unaenda kucheza against Manchester United, Livapool, Arsenal,Chelsea etc

Timu ulizokuwa unazionaga kwa kideo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama lengo lake lilikuwa kucheza EPL tu hapo nakubalianae, ila kama alikuwa na lengo la mafanikio zaidi hapo simuungi mkono maana EPL tunaijua Astonvilla ana kazi ngumu sana kubaki Epl msimu huu
 
maandishi yanajichanganya Wanyama wa kenya yupo spurs kitambo tu, ujuaji usiokuwa na maana.
Shule ni kitu cha muhimu sana..! Hv umesoma lkn kilichoandikwa!?? Wanyama anatoka Kenya,na wakenya wanaruhusu uraia pacha..kwa maana hiyo wanyama tayari atakuwa alijiandaa na ni lazima ana uraia wa nchi mojawapo ulaya.

Ukiacha hata mambo ya work permit,waingereza kwenye issue ya mchezaji ambaye anatoka kwenye nchi ambayo ipo chini kwa viwango vya fifa,wanasheria kali sana kumfanya huyo mchezaji acheze England.

Mbwana samatta huenda alishajiandaa,inawezekana alichukua uraia wa ubelgiji lkn tatizo ni kule kuchezea timu ya Taifa ya Tanzania na Tanzania hatuna Sheria ya uraia pacha...!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Mkuu una hoja, ila kwa Aston Villa wapo vizuri kwenye eneo hilo la kutafutia vibali wachezaji ambao ni wa nje ya bara la Ulaya.

Wana wachezaji kama Nakamba na Luiz ambao pia walitafutiwa vibali na wanachezea timu hiyo.

Wapo wanasheria wao ndo wanashughulikia hilo suala ambalo huitwa kwa kitaalam "going round it" ili kuweka kesi mezani kwa panel ya Home Office ya utoaji vibali.

Ndo maana Samatta tayari yupo Birmingham kufanyiwa vipimo na huenda Jumatatu tukapata jibu kamili.

Kwa sababu kuna kipengele cha kuchezea timu ya taifa ya nchi yako kwa asilimia 75 ambayo kwa Samatta bado ni "a piece of cake".

Aston Villa wanaangalia pia mshambuliaji wa Leicester Islam Slimani ambae nae anatokea Algeria lakini ana uraia pacha wa Ufaransa na Algeria.

Tungojee hadi jumatatu kwa picha kamili maana nasikia hata Salim Kikeke yupo "involved.".
 
Mnaosema semeni hii ni bahati yangu (yake) - Sabah Muchacho


Kama unaweza, panda juu nenda ukazibe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…